Ndoto za mchanaUbingwa wanachukua Manchester United.
Son na Kane wangekuwa hawapo Spurs, hiyo timu ingekuwa ni timu ya kushuka na kupanda daraja kama akina Fulam, Norwhich cityKatika wachezaji ambao nikiwaangalia naamini walipaswa kuimbwa sana, ila kwa sababu kadhaa hawapewi sifa hizo..
Mmoja wao ni son, mkorea huyu anajua saana boli.. Pale EPL anacheza timu yoyote ile, tena kikosi cha kwanza.
Ila ndio hivyo Tena yupo Tottenham, umri ushasogea, atasahaulika mapema au utokuimbwa inavyopaswa akistafu.
Anashinda EPLMark my word
Asernal anamaliza nje ya top four
Muchukue ubingwa ili iweje?Arsenal tusipobeba ubingwa mwaka huu litakuwa jambo la kusikitisha sana. Everything is working to favor us.
Arsenal tusipobeba ubingwa mwaka huu litakuwa jambo la kusikitisha sana. Everything is working to favor us.


Tungeshinda jana daaah...
Manchester United hatuna shabiki kilaza kama huyo.
Huyo ni Chelwowo wa kutupwa.
.
Mark my word
Asernal anamaliza nje ya top four
Wamuache kwanza, tuchukue ubingwabele yake bila kupunguzwa kituKuna hatari ya City kupunguziwa points?