Hizi hadithi ndefu ndefu kwa sasa hazihitajiki kwa Big tean kama Arsenal kinachotakiwa ni TROPHIES

tu last season ni UZEMBE wa Coach na baadhi ya players tukadrop from 1st position na season hii hakuna cha sijui hela ,sijui nafasi ya 5 au ya 3 ,season hii ni Arsenal abebe EPL trophy

sababu uwezo anao hao Leicester alibeba EPL tena bila hela yoyote ya usajili why not Arsenal ambayo inacheza sexy football kwa sasa?Arsenal uwezo wa kubeba EPL anao kwa asilimia 70 but kinachosumbua team inayumba sijajua tatizo ni nini kama muda huu tupo nafasi ya 4 wakati tulitakiwa tuwe wa 1 sababu tulikuwa home vs West ham