Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hizi hadithi ndefu ndefu kwa sasa hazihitajiki kwa Big tean kama Arsenal kinachotakiwa ni TROPHIES tu last season ni UZEMBE wa Coach na baadhi ya players tukadrop from 1st position na season hii hakuna cha sijui hela ,sijui nafasi ya 5 au ya 3 ,season hii ni Arsenal abebe EPL trophy sababu uwezo anao hao Leicester alibeba EPL tena bila hela yoyote ya usajili why not Arsenal ambayo inacheza sexy football kwa sasa?Arsenal uwezo wa kubeba EPL anao kwa asilimia 70 but kinachosumbua team inayumba sijajua tatizo ni nini kama muda huu tupo nafasi ya 4 wakati tulitakiwa tuwe wa 1 sababu tulikuwa home vs West ham
Sasa Kama unajua arsenal bado anao uwezo wa kubeba hili kombe mbona unajikatia Tamaa mapema hivi.?
 
Hizi hadithi ndefu ndefu kwa sasa hazihitajiki kwa Big tean kama Arsenal kinachotakiwa ni TROPHIES tu last season ni UZEMBE wa Coach na baadhi ya players tukadrop from 1st position na season hii hakuna cha sijui hela ,sijui nafasi ya 5 au ya 3 ,season hii ni Arsenal abebe EPL trophy sababu uwezo anao hao Leicester alibeba EPL tena bila hela yoyote ya usajili why not Arsenal ambayo inacheza sexy football kwa sasa?Arsenal uwezo wa kubeba EPL anao kwa asilimia 70 but kinachosumbua team inayumba sijajua tatizo ni nini kama muda huu tupo nafasi ya 4 wakati tulitakiwa tuwe wa 1 sababu tulikuwa home vs West ham
Mkuu kama sikosei nakumbuka ulihamia PSG kulikoni tena timu uliyoihama inakuumiza kiasi hiki
 
Kombe lenu msimu huu ni kutoka Draw na liver anfield.

Nje na hapo, hamna kikombe chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww n mshabik wa Liverpool.. naona imekuuma sana .. ila kiukwel mlizoea kutu funga sana pale anfield sasa nyakat hz hampat matokeo . Msimu ulio pita mlichomoa goli mbil msimu huu tena mkachomoa ..

Nilazima ujiskie vibaya timu uliokuwa una ionea kwako sasa hv hupat matokeo ..


Subir uje emirate nakunywa supu ya jogooo
 
Ww n mshabik wa Liverpool.. naona imekuuma sana .. ila kiukwel mlizoea kutu funga sana pale anfield sasa nyakat hz hampat matokeo . Msimu ulio pita mlichomoa goli mbil msimu huu tena mkachomoa ..

Nilazima ujiskie vibaya timu uliokuwa una ionea kwako sasa hv hupat matokeo ..


Subir uje emirate nakunywa supu ya jogooo
Kwani ni lini mmeshinda Anfield?
Ama draw ndiyo ushindi wenu?
Kama draw na liver ni ushindi kwenu basi timu yenu ni hopeless na kamwe haiwezi chukua kikombe chochote hata cha chai.
 
Screenshot_2023-12-31-06-36-20-751_com.twitter.android-edit.jpg
 
Back
Top Bottom