Mi naomba usamehewe tu, maana hujui ulichokiandika! By the way, ukikaa kimya hutaonekana mjinga Bali mwenye busara zaidi maana sio kila kitu uchangie hata kama hukijui
Nadhani hawako aware na sheria ya kupinga usafirishaji haramu (anti - trafficking act no 6 of 2008 of Tanzania) chini ya sheria hiyo ni kosa kubwa sana, kwa maksudi kuharibu travelling documents za mtu kwa lengo la kumtumikisha?!! I hope serekali isikie kilio cha binadam hao
Watu wengne bhana sijui mpoje, kwani huwezi kutangaza biashara yako kwa njia ambayo hata mtu asitishike ama kuogopa? Sema tu mim dkt. Nani sijui natokea mbinga ni mtabibu wa kienyeji/ramli napatkana songea natibu maradhi, umasikini na ujinga, umemaliza na watu wanaelewa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.