Recent content by Taster

  1. Taster

    Banki. Available balance vs actual balance

    Umeweka cash au cheque? Kama ni cheque ya bank nyingine inakuwa na muda wa Ku clear, inaweza kuwa cku 4 hadi 14 za kazi kitegemeana na mazingira uliyopo!
  2. Taster

    Jinsi ya kupenda kwa vitendo

    Namba 8! Ntajaribu Ku implement!
  3. Taster

    Umuhimu wa ndoa kwako

    Inaonekana kama umeconclude kuwa mtoa mada hana hela. Nafikiri mtoa mada anazungumzia ndoa na vitu vingine vikiwa constant(ceteris paribas). Sio fomula kuwa ukiingia kwenye ndoa utakuwa huna hela!
  4. Taster

    Baadhi ya Majina ya Vigogo waliolipwa pesa za ESCROW

    Wewe mkuu umezitumia kwenye nini na nini?
  5. Taster

    Baadhi ya Majina ya Vigogo waliolipwa pesa za ESCROW

    Inaonekana mgao Ni 40.2 M per head! Chenge kawachukulia na wengine wasiotakiwa kujulikana!
  6. Taster

    Kwa wakina kaka tu

    Watu waliozidi umri wa kawaida wa kuoa na kuolewa(23-28 kwa wadada) na (28-32) kwa wanaume wanaleta Mashaka as either ni wabinafsi Sana, hawajiamini au Ni wagumu Sana kujichanganya na watu wengine! Kiufupi wengi hawaamini katika long term relationships! Ukioa au kuolewa na mtu kama huyo...
  7. Taster

    Ilibaki kidogo tu nafsi iuache mwili

    Kesi kama yako iliwahi kutokea kwa jamaa mmoja tukiwa Chuo! Jamaa alikuwa na gf wake chuoni, cku moja jamaa kamkuta binti na njemba nyingine room! Yule binti kajifanya hamjui Msela na akaanza kumpigia kelele za mwizi! Jamaa alipigwa xana akaenda kufia hospital baada ya kuokolewa na rais wa Chuo...
  8. Taster

    Mikoa ya kuanzia maisha

    Swali alilouliza Ni la msingi, nisingemshauri aanzie maisha kilimanjaro kama anataka kutoka fasta! Unaweza jikuta unafanyia kazi Kula pekeake! Hata hivyo sidhani kama utakuwa na option ikiwa unafanya kazi ya kuajiriwa!
  9. Taster

    Thuram amtolea uvivu kocha wa Bordeaux

    Mkuu watu wote tunatamani kuwa na Ligi bora na kuwabakiza wachezaji wazuri, lkn nashindwa kuona Ni jinsi gani tutafika huko! Tuna matatizo kila upande, kuanzia kwenye kukuza hao wachezaji hadi kwenye miundombinu, fikiria tu kuwa Ni timu moja tu ambayo ina uwanja unaofaa pamoja na shule ya soka...
  10. Taster

    Long distance relationship, uaminifu zero

    Ishu ya kuchepuka ni tabia ya mtu. Kuna watu wengi tu ambao wapo pamoja na still sio waaminifu na vilevile wapo watu wengi tu kwenye hizo long distance relationship ambao ni waaminifu kwa 100%
  11. Taster

    Maalum kwa wanaume waliolelewa na mama tu

    Badala ya baby's mama afadhali ungesema mama's baby au hata mtoto wa mama!
  12. Taster

    Hii Tabia ya wanaume kutamani wake za watu inatokana na nini?

    Mkuu umejuaje kama jamaa hawezi hata goli moja? Kakupitia au mkewe kakwambia? Acha kuhalalisha ushenzi!
  13. Taster

    Muhimu: Mambo makuu usiyopaswa kumwambia mke wako milele

    Kweli mkuu. Na umasikini wa mawazo pia.Haiwezekani mtu mwenye akili timamu aendeshe maisha ya familia yake kwa ushari wa saloon.
  14. Taster

    Wanaume: Kwa nini mnawasaliti wenzi wenu? leo nataka tukate mzizi wa fitina

    Theory zote zinaeleza wazi, arousal kwa mwanaume inatokea kwa kuona, na ndo sababu wanawake ni wazuri kwa sura na maumbile. Arousal kwa mwanamke ni psychological. Ndo sabab unahijaji kumuandaa kiakili kabla ya kitendo. Wanaume wote au tuseme zaidi ya 90% wanatamani kuchepuka isipokuwa kwa sababu...
  15. Taster

    Sio mbaya kushea yanayoendelea huko PM

    Vp mkuu ulienda?
Back
Top Bottom