Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
umeona eeeh kidogo kidogo tunajikuta tuko wozap lol
haa haaa halafu kweli bana
umeona eeeh kidogo kidogo tunajikuta tuko wozap lol
hutaki mgegedo weye
yaani paogope ka ukoma
Kwahiyo PM siyo kubaya kama ilivyofikiriwa mwanzoni?
Shem nitabadilisha njia
pm raha sana kuna member mmoja alinitumia nyuchi eti nikamsaidie kufyeka nyasi lol!
hahahhah afu ndo mana hujawahi hata kunipm eeeh
Eeeeh!! Yes baby hizo za kuanzia si mbaya honey,love you,mwaaa.....
.
haa haaa mwafanana ka tui la nazi na maziwa. yaani kopiraiti
Hahahaha!! Okey bebiii, tutatishaje??Haaa, basi sawa, sitabweteka tena. Mpaka tuwe wa kuigwa ktk jiji la PM
Huko we acha tu. Kuna shangingi moja nilim PM mwaka jana hakunijibu basi hadi leo nna kijiba cha roho. Nikawa nikiona amekomenti kwenye uzi nalipita jukwaa ka naruka moto siku moja akani quote komenti yangu weee nilimuwashia moto ule wa jehanamu una afadhali.
Niulizeni chochote kuhusu PM. mia
ulijuaje kuwa ni shangingi?Huko we acha tu. Kuna shangingi moja nilim PM mwaka jana hakunijibu basi hadi leo nna kijiba cha roho. Nikawa nikiona amekomenti kwenye uzi nalipita jukwaa ka naruka moto siku moja akani quote komenti yangu weee nilimuwashia moto ule wa jehanamu una afadhali.