Umuhimu wa ndoa kwako

Umuhimu wa ndoa kwako

yaelea.umekulia maisha ya ya kutukuza pesa..

naomba unijib hili swali dogo tu, je baba yako ana hela za kumnunulia mama yako gari analotaka, kumpeleka vacations, nyumba nzuri geti kali etc etc,

na kama hana huo uwezo unahisi mama yako ni mjinga kufanya nae maisha na baba yako?

na kama baba yako ni tajiri, unafikiri pesa ndio iliemfanya mama yako aolewe nae??

Mama na baba yng hawakuhusu na maisha yao na hawajui kama kuna kitu kinaitwa jf so siwezi kuwajadili hapa,,,,,,,,,,,,,,,,,,, jadili mada huwezi kazimue viroba.
 
Upeo wako WA mwisho kufikiri ni PESA tuu, pesa zisizo na idadi kamili!! bado hadi sasa hujajua definite amount of money worth for you!!!
Think of ideas first then materials will follow you!!!
Unatoka kwnye necessary demands unakimbilia kwnye luxurious ones!!!!
Hekima & busara hata mfalme Suleiman aliiomba kwa Mungu licha ya Ukwasi wake woooote!!!

tinna CUTE!!!!

Wise words from a wise person... Stay Strong Bro
 
Bila hela huyo mke utamtunza na nn??????
Sir god atakutimizia kila kitu bila ww kuzisaka pesa?????
Marriage is all about money!!!! siku moja utakubali nisemayo
Inaonekana kama umeconclude kuwa mtoa mada hana hela. Nafikiri mtoa mada anazungumzia ndoa na vitu vingine vikiwa constant(ceteris paribas). Sio fomula kuwa ukiingia kwenye ndoa utakuwa huna hela!
 
Kwa mtazamo wangu nina mambo mawili yanayonifanya nitamani kufunga ndoa.

1.)Status-unaheshimika na jamii ukioa,sina jibu kwanini inakuwa hivyo la moja kwa moja...ila hicho kitu nimekiona mara nyingi.

2).Mipango inapangika-richa ya kuwa unakuwa unaingia kwenye majukumu mazito wanaume wengi huwa wanafanya malengo,dont know how is happen.

3).Watoto-kitendo cha kuwa na watoto ni furaha sana,ila kama umeamua kudhati kuzaa na kuchukua jukumu hili kwa moyo mmoja.

Tusiktukane...tushawishiane kwa point za msingi.

CC Khantwe.
 
Last edited by a moderator:
Wise words from a wise person... Stay Strong Bro

asante sana ndugu yangu! Himidini attitudes zetu ndiyo silaha zetu dhidi ya changamoto za maisha ama tusipozitumia vema zinageuka na kutuangamiza kwa namna ile2 tulivyozitengeneza wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom