KWAHIYO unapambana na TWAWEZA au unataka maoni,mbona ishu zingine umeziacha,utafiti wa TWAWEZA haikua URAIS pekee,au hoja ya ccm kuwa inapendwa sana imekubali,ila urais ndo utaki,je UKAWA je
Nafafanua my take yangu(nilikua na maana ya kuwa)nijuzwe jamaa sasa hivi yuko,lengo kuzuia wale watu wa utani.ndo mana nikarejea ktk katiba!!
ASANTE SANA kwa kunipa majibu mazuri,na ufafanuzi,allah akujalie
Wanajamvi naomba kujuzwa aliko Francicy Kiwanga(kijana)mkurugenz wa tume ya haki za binamu,naona siku hizi kuna yule mama Helen kijo Bisimba,au ndo ameshukua nafasi yakijana yule
My take! infomation z power au lejea katika katiba ya Tz ibara ya 18 kifungu kidogo.......ulazima wa kupata taarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.