Mlevi alikutana na kundi la polisi katika majibishano askari mmoja akasema afande mpe chai, yule afande akamkata kofi mlevi mpaka chini,mlevi kuinuka na yeye akamkata afande kofi afande chini. polisi wakamjia juu mlevi we unampiga afande mlevi akawajibu si amenipa chai namrudishia kikombe