Nini unaogopa sana katika Maisha????

Nini unaogopa sana katika Maisha????

Naogopa kuwa nyumba dar, hasa za wenyeji.

Ukipita Kariakoo wale watu wooote usiku wanalala mahali fulani.
Nyumba zingine zina watu hata 20.

Bado za wenyeji nazo zinajaa sana hasa wakati wa kazi, hebu fikiria wee ndo nyumba afu uko pale kwa mtogole.

Afu nyumba hata hazisafiri wala hazina likizo.

Sitaki kuwa nyumba kabisa lol

Hahahahaaa bora uwe nyumba kuliko kitanda
 
Naogopa sim ikilia usiku. Watu wangu wa karibu wanajua there is nothing I dislike kama kuamshwa, na wasio wa karibu hawana number yangu. Basi sim ikilia usiku najua kabisa inalia kwa sababu kuna emergency, na mara nyingi ni habari mbaya.
 
kumbe wewe no she, your id sounds masculin. hiyo ya pili ushapoteza au bado?

sijakuelewa hata chembe...na sitaki kukuelewa...ww umeshatolewa bikra yako ya N...Y...U...M...A?
 
Na hatari nyingine ni kuwa kitanda, unalaliwa daily afu na kushuhudia matukio halali na halifu.

Teh! Na kuvunjwa pia kupo kwani huwa hakuna mzani before game. Unakuta starlet imejitwisha ten tonnes SCANIA.
 
Ugonjwa,ugopa sana mimi,sababu weka mimi ndan bana,sipend hii
 
Kitu cha devil noma..ndo kina leta ma mikasa ya ajabuuu..kwanza mi nahisi kina sura mbayaaaaaaa ukikiona labda mtu mzima unaeza ukalia!
 
1-Jela
2-Kufa
3-Kubakwa
4-Talaka
5-Ugonjwa
6-Shetani
7-............

Mimi naogopa sana Jela na Shetani, Je ww unaogopa nini? Ukitaja na sababu itakuwa vizuri....

................ uasi.........
 
Back
Top Bottom