Recent content by Superficial

  1. Superficial

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Salim: Wenzetu wanafundishwa stadi za maisha, sisi watoto wetu kuimba mwenge, Mama Samia kafungua hiki

    Elimu ya tanzania kukaririshwa afu ukipata A we ndo mtaalam,so sad
  2. Superficial

    JamiiForums Tanzania Vyuo vikuu 10 bora Afrika 2026

    africa ni kukariri na kujibu mtihani ndo unaonekana mtaalam
  3. Superficial

    JamiiForums Tanzania Vyuo vikuu 10 bora Afrika 2026

    Form 6 mmeanza sasa
  4. Superficial

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Mimi ninachojua ni kuwa watoto ni biggest liability na pia ndoa ni biggest scam ever.
  5. Superficial

    JamiiForums Tanzania Kijana usiwe kataa ndoa ni hatari inafupisha maisha

    Mimi nisipo oa wewe ina kuuma nini,acheni mambo yenu si lazma.
  6. Superficial

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna bahati? Nini maana ya bahati?

    Bahati haikai sehemu yenye juhudi,ukitaka uwe na bahati kuwa mvivu.
  7. Superficial

    JamiiForums Tanzania Sioni umuhimu wa kutafuta au kumiliki hela

    Vipi kuhusu baby mamaz wako wale hawana umuhim kweli kwenye swala la pesa.
  8. Superficial

    JamiiForums Tanzania Naomba ukaribisho

    Shemale🤔
  9. Superficial

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Kiungo mkabaji anahitajika pia , kwasababu yule TCHOUAMENI sidhani kwakweli.
  10. Superficial

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki 7 unavaa Tai hadi shingoni

    Karibu tena TRA
  11. Superficial

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Wakuu mnisaidie kidogo apa ipo hivi kwanini 1080p ambazo zinapatikana movie box sio quality halisi kama unazokutana nazo kwenye websites. Kwasababu nimetokea kujionea kuwa tofauti zao ni kubwa vibaya mnoo,hii inaweza maanisha kuwa hd za moviebox sio zile zenyewe kabisa au.
  12. Superficial

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hivi wakuu madrid ni kweli haina uhitaji wa kiungo mkambaji kiasi icho , kwasababu TCHOUAMENI bila unafki kwangu bado aisee.
  13. Superficial

    JamiiForums Tanzania Hisia za mapenzi zimepotea

    Kwaio hata mwili wako kama ni me asubuhi haujishtukii kabisa ,au mnara nao umesombwa na mafwele.
  14. Superficial

    JamiiForums Tanzania Have You Ever Been In Love?

    Mleta mada sidhani kama anataarifa ya kuwa mada yake baada ya miaka 18 inakuja kupingwa vikali mnoo.
Back
Top Bottom