Recent content by Superficial

  1. Superficial

    Hizi pocket router za Voda zikoje? Naombeni ushauri kabla sijajichanganya

    Pia mshauri achukue ipi ili nasi tupate kujua🙌
  2. Superficial

    Movie za action na Animation zimepungua vibe

    Sikuizi ukigusa tu movie usagaji au ushoga hukosi,sema kazi wanayo wazazi.
  3. Superficial

    KERO Wanafunzi wa MASTERS na Ph.D Hosteli za Ubungo - UDSM tunanunua maji ndoo moja Tsh. 1,000

    Ni heri ungeenda mabibo hostel kule maji ya chumvi ungeyasasambua mpaka upauke kuliko kukosa maji kabisa.
  4. Superficial

    Nyumba za kupanga za kuchangia choo na bafu ni maisha duni sana.

    Nahisi waligundua sema ilikuwa too late kwa upande wake na hapo ndio ikawa mwisho wa mimi kufanya huo ushenzi.
  5. Superficial

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hajafa mtu hapa,acheni kuzua taharuki. #Niwatoe hofu kwamba hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi
  6. Superficial

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Anza na odds ndogo pia analysis za timu ni muhim
  7. Superficial

    Hivi wakuu demu ukimuomba namba alisema Hana simu inamaana ndio hakutaki au

    Mtaalam muonekano una beba sometimes wala si huruma
  8. Superficial

    Hivi wakuu demu ukimuomba namba alisema Hana simu inamaana ndio hakutaki au

    HUJAMVUTIA SIMPLE LIKE THAT,usiumize sana kichwa
  9. Superficial

    Huenda Zanzibar Inaongoza Kwenye Biashara ya Ngono Mtandaoni

    Tinder chatting ni kiasi gani kwa week malipo saivi
  10. Superficial

    Huenda Zanzibar Inaongoza Kwenye Biashara ya Ngono Mtandaoni

    Hii walishaifungia kitambo,kuna upuuzi mwingi ulifanyika.
  11. Superficial

    Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

    Mzazi mpeleke mwanao private ili aishi maisha mazuri tuu kipindi chake cha elimu ,ila ujue tuu akienda chuo na asipokuwa serious atakushangaza huto amini . Kwasababu chuo pia kujua English sio guarantee ya huyo kijana kufaulu vizuri.
  12. Superficial

    Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

    Private ni kufarijiana tuu,sisi tulipofika chuo wanangu wengi wa kayumba ndo walikuwa vipanga balaa kuliko hata wale wakujitapa.
  13. Superficial

    Mchanganuo wa bolt na Gari ya Aqua

    INSIDER MAN Uwanja wako huu mkuu🙌
Back
Top Bottom