Hisia za mapenzi zimepotea

Hisia za mapenzi zimepotea

oldmind

New Member
Joined
May 30, 2026
Posts
1
Reaction score
10
Hello everybody, straight to the point.

Mimi ni introvert na muda wangu mwingi nimekuwa nikiutumia kufanya mambo magumu, kama kusoma vitabu vyenye hard logics, kutengeneza complicated algorithms, and the rest.

Nimejikuta hamu ya kufanya sex au kuwa na mpenzi imepotea kabisa, miaka kama mitatu sasa

Sipigi punyeto wala siangalii pornography, kwani ingekuwa hivyo ningeshajua shida iko wapi.

kwahiyo nahitaji ushauri, je ni kawaida kwa binadamu kukosa kabisa hizo hisia?
 
Hello everybody, straight to the point.

Mimi ni introvert na muda wangu mwingi nimekuwa nikiutumia kufanya mambo magumu, kama kusoma vitabu vyenye hard logics, kutengeneza complicated algorithms, and the rest.

Nimejikuta hamu ya kufanya sex au kuwa na mpenzi imepotea kabisa, miaka kama mitatu sasa

Sipigi punyeto wala siangalii pornography, kwani ingekuwa hivyo ningeshajua shida iko wapi.

kwahiyo nahitaji ushauri, je ni kawaida kwa binadamu kukosa kabisa hizo hisia?
Msosi je?

Real Housewives Of Atlanta Eating GIF.gif


Kama unakula vizuri, basi mapenzi yapotezee tu.
 
Hello everybody, straight to the point.

Mimi ni introvert na muda wangu mwingi nimekuwa nikiutumia kufanya mambo magumu, kama kusoma vitabu vyenye hard logics, kutengeneza complicated algorithms, and the rest.

Nimejikuta hamu ya kufanya sex au kuwa na mpenzi imepotea kabisa, miaka kama mitatu sasa

Sipigi punyeto wala siangalii pornography, kwani ingekuwa hivyo ningeshajua shida iko wapi.

kwahiyo nahitaji ushauri, je ni kawaida kwa binadamu kukosa kabisa hizo hisia?
Bora uzikose tu maana haziongezi uchumi hata ukiwa nazo nyingi
 
Hello everybody, straight to the point.

Mimi ni introvert na muda wangu mwingi nimekuwa nikiutumia kufanya mambo magumu, kama kusoma vitabu vyenye hard logics, kutengeneza complicated algorithms, and the rest.

Nimejikuta hamu ya kufanya sex au kuwa na mpenzi imepotea kabisa, miaka kama mitatu sasa

Sipigi punyeto wala siangalii pornography, kwani ingekuwa hivyo ningeshajua shida iko wapi.

kwahiyo nahitaji ushauri, je ni kawaida kwa binadamu kukosa kabisa hizo hisia?
Yh hisia zinatabia ya kuchange
 
Back
Top Bottom