Ni beki mzuri ukilinganisha na waliopo sasa kwenye hiyo nafasi yake.
Kweli kabisaWatu wenye doubt na Cucurella hawaangalii la liga. Alikuwa Getafe pale na vitu alivyokuwa anafanya akiwa na mid-table team kama ile, naamini na yeye anastahili kuja kusheherekea champions league the Santiago Bernabéu
Kiungo mkabaji anahitajika pia , kwasababu yule TCHOUAMENI sidhani kwakweli.Tuangalie tu world cup, ikiisha huko la liga na champions league mtatujua. Maana sio kwa usajili huu
😀😀😀dah!ninaona toka aondoke mjomba Marcelo bado ni kama tuna wenge flani hivi lakupata mtu ambaye ana uwezo wakushambulia kwa uhakika yaan akawa kama kiungo mshambuliaji na mzuiaji...hawa waliopo kuna ambaye ni mzuri kupanda ila kukaba nakuusoma mchezo uwezo ni mdogo..ngoja tuone huyu Cucurella atatupa nini.Hii ya Cucurella mbona imekuja faster sana, maana hata tetesi hazikuwepo, n Chelsea wameuza chap, tumeuziwa kimeo nini!? Ni kisiki kweli huyu jamaa, maana ninaona ni mlaini kama Alvaro tu.
Nakubaliana na wewe...hili eneo ndio haswa linatuumiza mnoo.Kiungo mkabaji anahitajika pia , kwasababu yule TCHOUAMENI sidhani kwakweli.
Cucurella anasema Vini hahitaji kujisumbua kurudi kukaba, pale inapobidi nitaifanya kazi chafu kwaajili yake 😂🙌😀😀😀dah!ninaona toka aondoke mjomba Marcelo bado ni kama tuna wenge flani hivi lakupata mtu ambaye ana uwezo wakushambulia kwa uhakika yaan akawa kama kiungo mshambuliaji na mzuiaji...hawa waliopo kuna ambaye ni mzuri kupanda ila kukaba nakuusoma mchezo uwezo ni mdogo..ngoja tuone huyu Cucurella atatupa nini.
Jude Bellingham, kawasawazishia England dhidi ya Norway.
Hua nasema Bellingham ana faida na ni rahisi kwake kua false no 9 kuliko huku safu ya kiungo anahangaika sana.
wa sababu anafanana sana na Wayne Rooney wa enzi hizo: ana nguvu ya mwili, stamina ya kukimbia uwanja mzima, uwezo mkubwa wa kumiliki mpira akiwa amebanwa, na muhimu zaidi, ana uchu wa kufunga (killer instinct) anapokuwa karibu na lango.
Jude ni mchezaji mzuri but to me in my pOV sio mchezaji wa level ya real Madrid Jude ni mchezaji wa kawaida Tena sanaMmeuona Jude, kuaondoka na goli 7 na assist 1. Na goli zote kafunga akiwa ndani ya box hakuna hata Moja la nje ya box kama ilivyo kawaida ya viungo wengi.
Kafunga akiwa ndani ya box, Hii inadhihirisha kwamba Akiwa katikati ya uwanja, Jude anasaidia kuchezesha timu na kukaba.
Lakini uwezo wake wa kimwili, urefu, na utulivu wake wa kufanya maamuzi sahihi unafanya huduma anayoitoa akiwa eneo la juu ni Bora kuliko akiwa Katikati ya uwanja.
Tazsma goli dhidi ya ufaransa, katoka na watu Katikati ya uwanja kaenda nao mpaka ndani ya box na kafunga.
Ila mimi hua nashangaa sana nyie mnaosema mchezaji fulani siyo wa kucheza Real Madrid. Hao wachezaji wenye hadhi ya kucheza Real Madrid wako wapi? Nitajie walau watano tu.Jude ni mchezaji mzuri but to me in my pOV sio mchezaji wa level ya real Madrid Jude ni mchezaji wa kawaida Tena sana
Yaani kutoka kuwa na mchezaji kama Luis Figo zidane Ronaldo delima To cr7 bale benzema to Jude Bellingham he's overrated
Yupo wapi sasaivi mchezaji anacheza kama Figo, zidane, Ronaldo de Lima au Cr7?Jude ni mchezaji mzuri but to me in my pOV sio mchezaji wa level ya real Madrid Jude ni mchezaji wa kawaida Tena sana
Yaani kutoka kuwa na mchezaji kama Luis Figo zidane Ronaldo delima To cr7 bale benzema to Jude Bellingham he's overrated