Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

1000141597.jpg
 
Watu wenye doubt na Cucurella hawaangalii la liga. Alikuwa Getafe pale na vitu alivyokuwa anafanya akiwa na mid-table team kama ile, naamini na yeye anastahili kuja kusheherekea champions league the Santiago Bernabéu
Kweli kabisa
 
Hii ya Cucurella mbona imekuja faster sana, maana hata tetesi hazikuwepo, n Chelsea wameuza chap, tumeuziwa kimeo nini!? Ni kisiki kweli huyu jamaa, maana ninaona ni mlaini kama Alvaro tu.
😀😀😀dah!ninaona toka aondoke mjomba Marcelo bado ni kama tuna wenge flani hivi lakupata mtu ambaye ana uwezo wakushambulia kwa uhakika yaan akawa kama kiungo mshambuliaji na mzuiaji...hawa waliopo kuna ambaye ni mzuri kupanda ila kukaba nakuusoma mchezo uwezo ni mdogo..ngoja tuone huyu Cucurella atatupa nini.
 
😀😀😀dah!ninaona toka aondoke mjomba Marcelo bado ni kama tuna wenge flani hivi lakupata mtu ambaye ana uwezo wakushambulia kwa uhakika yaan akawa kama kiungo mshambuliaji na mzuiaji...hawa waliopo kuna ambaye ni mzuri kupanda ila kukaba nakuusoma mchezo uwezo ni mdogo..ngoja tuone huyu Cucurella atatupa nini.
Cucurella anasema Vini hahitaji kujisumbua kurudi kukaba, pale inapobidi nitaifanya kazi chafu kwaajili yake 😂🙌
 
Jude Bellingham, kawasawazishia England dhidi ya Norway.

Hua nasema Bellingham ana faida na ni rahisi kwake kua false no 9 kuliko huku safu ya kiungo anahangaika sana.

wa sababu anafanana sana na Wayne Rooney wa enzi hizo: ana nguvu ya mwili, stamina ya kukimbia uwanja mzima, uwezo mkubwa wa kumiliki mpira akiwa amebanwa, na muhimu zaidi, ana uchu wa kufunga (killer instinct) anapokuwa karibu na lango.
 
Jude Bellingham, kawasawazishia England dhidi ya Norway.

Hua nasema Bellingham ana faida na ni rahisi kwake kua false no 9 kuliko huku safu ya kiungo anahangaika sana.

wa sababu anafanana sana na Wayne Rooney wa enzi hizo: ana nguvu ya mwili, stamina ya kukimbia uwanja mzima, uwezo mkubwa wa kumiliki mpira akiwa amebanwa, na muhimu zaidi, ana uchu wa kufunga (killer instinct) anapokuwa karibu na lango.

Jamaa ni mzuri akicheza false 9, ila sio midfielder mzuri hasa kwa timu kama Madrid.
 
Mmeuona Jude, kuaondoka na goli 7 na assist 1. Na goli zote kafunga akiwa ndani ya box hakuna hata Moja la nje ya box kama ilivyo kawaida ya viungo wengi.

Kafunga akiwa ndani ya box, Hii inadhihirisha kwamba Akiwa katikati ya uwanja, Jude anasaidia kuchezesha timu na kukaba.

Lakini uwezo wake wa kimwili, urefu, na utulivu wake wa kufanya maamuzi sahihi unafanya huduma anayoitoa akiwa eneo la juu ni Bora kuliko akiwa Katikati ya uwanja.

Tazsma goli dhidi ya ufaransa, katoka na watu Katikati ya uwanja kaenda nao mpaka ndani ya box na kafunga.
 
Mmeuona Jude, kuaondoka na goli 7 na assist 1. Na goli zote kafunga akiwa ndani ya box hakuna hata Moja la nje ya box kama ilivyo kawaida ya viungo wengi.

Kafunga akiwa ndani ya box, Hii inadhihirisha kwamba Akiwa katikati ya uwanja, Jude anasaidia kuchezesha timu na kukaba.

Lakini uwezo wake wa kimwili, urefu, na utulivu wake wa kufanya maamuzi sahihi unafanya huduma anayoitoa akiwa eneo la juu ni Bora kuliko akiwa Katikati ya uwanja.

Tazsma goli dhidi ya ufaransa, katoka na watu Katikati ya uwanja kaenda nao mpaka ndani ya box na kafunga.
Jude ni mchezaji mzuri but to me in my pOV sio mchezaji wa level ya real Madrid Jude ni mchezaji wa kawaida Tena sana

Yaani kutoka kuwa na mchezaji kama Luis Figo zidane Ronaldo delima To cr7 bale benzema to Jude Bellingham he's overrated
 
Jude ni mchezaji mzuri but to me in my pOV sio mchezaji wa level ya real Madrid Jude ni mchezaji wa kawaida Tena sana

Yaani kutoka kuwa na mchezaji kama Luis Figo zidane Ronaldo delima To cr7 bale benzema to Jude Bellingham he's overrated
Ila mimi hua nashangaa sana nyie mnaosema mchezaji fulani siyo wa kucheza Real Madrid. Hao wachezaji wenye hadhi ya kucheza Real Madrid wako wapi? Nitajie walau watano tu.

Embu nitajie ni kiungo gani mwenye goli nyingi kwenye haya mashindano yanayoendelea kuzidi Jude.

Tusiishi kwa kukariri Jude ni aina ya viungo ambao wanapenda kucheza ndani ya box wanapopata open space.

NB: Hakikisha unanitajia wachezaji watano tu wenye hadhi ya kucheza Real Madrid.
 
Jude ni mchezaji mzuri but to me in my pOV sio mchezaji wa level ya real Madrid Jude ni mchezaji wa kawaida Tena sana

Yaani kutoka kuwa na mchezaji kama Luis Figo zidane Ronaldo delima To cr7 bale benzema to Jude Bellingham he's overrated
Yupo wapi sasaivi mchezaji anacheza kama Figo, zidane, Ronaldo de Lima au Cr7?

MPIRA imebadilika mkuu Kuna vitu na sisi lazima tubadilishe hasa namna ya kuwatazama Wachezaji.

Sio kuwalinganisha na WA zamani tu.
 
Back
Top Bottom