Mkuu hilo tatizo lako ni depression na ni tatizo ambalo linawakumba vijana wengi ...kujua dalili zake ingia google search depression utaelewa vizuri au onana na mwanasaikolojiaa akusaidie...pia kuna member ameeleza kuna dawa inakubidi utumie lasihivyo tatizo hili litakuaribia maisha completely
Habari wakuu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu, Napenda kujuzwa kwa wale ambao wanajua na wameshawahi kutumia Aina ya gari Subaru impreza 2007 ni cc 1500 napenda tufahamishane juu ya ulaji wa mafuta. upatiikanaji wa spea, ubora na uimara kwenye barabara zetu hizi za bongo pia uimara na kasoro...
mkuu ofisi za sido makao makuu yapo upanga karibu na shule ya mzizima sec pale pia tawi lao jingine lipo kama unaelekea gongo la mboto kunakituo kabisa kinaitwa sido shuka upande wa pili wa barabara utaona ofisi zao...nadhani nimekusaidia mkuu
kwanza wawekezaji wa ndani pamoja na viwanda vilivyoanzishwa waangaliwe suala la operation cost ni kubwa kutokana na kodi kubwa ambayo wanatozwa ..pia serikali iwape motisha kwa wawekezaji wa ndani wanaotaka export nje ya nchi hasa taxes reduction ya atleast 30% kama wanavyofanya nchi jirani...
mbona haueleweki mkuu embu malizia taarifa yako na utaje bei yake pamoja na mahitaji muhimu yanayopatikana....tulia rudi uje utueleze haraka ya nini?...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.