Hauna tatizo lolote wewe chapakazi ujenge nchi. Hilo sio tatizo, tanzania ya sasa inahitaji watu kama weweTafadhali naombeni msaada ndugu zangu,
Nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu, yani muda mwingi nipo mwenyewe, na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
We are many!Nashukuru sana ndugu,yani kama kuangalia mpira ndiyo sipendi kabisa, kwenye sherehe siendi, sometimes hata kwenda kusalimia tu ndugu zangu siendi sababu wanaongea sana wakati mimi mwenyewe sipendi maneno mengi.
Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,
Nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu, yani muda mwingi nipo mwenyewe, na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
Kama uko under 25, ni hali ya kawaida kabisa... Ukisoma ile mada ya vijana unaweza kusaidikaTafadhali naombeni msaada ndugu zangu,
Nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu, yani muda mwingi nipo mwenyewe, na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
Usifikie huko mkuu, hata mimi kuna wakati nilishapitia hali kama hiyo na wapo wengi tu waliopitia hayo.Asante sana,ni kweli nina stress sana kiasi kwamba kuna muda napata kabisa mawazo ya kujiua.
Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,
Nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu, yani muda mwingi nipo mwenyewe, na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
Una mchumba?????Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu,yani muda mwingi nipo mwenyewe,na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
una umri ganiTafadhali naombeni msaada ndugu zangu,nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu,yani muda mwingi nipo mwenyewe,na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
Nashukuru sana ndugu,yani kama kuangalia mpira ndiyo sipendi kabisa, kwenye sherehe siendi, sometimes hata kwenda kusalimia tu ndugu zangu siendi sababu wanaongea sana wakati mimi mwenyewe sipendi maneno mengi.
Kama umezaliwa kati ya 23/08 hadi 22/09 , kuna uhusiano na unayo yasema. Jibu ni kwamba wala usihangaike kwa wataalamu wa psychology ukapoteza pesa , kwa sasa ndivyo ulivyo ni asili yako ,chakkufanya ni jitambua uko hivyo , ikubali hali hiyo .Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,
Nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu, yani muda mwingi nipo mwenyewe, na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
Umezaliwa mwezi gani wa 8- 9 ??Mm pia nipo kama wew. Kuna tym nilidhan nitafute demu atanisaidia lkn wapi Demu mwenyew niliona ananijazia memory ya kichwa tu. My best friend ni simu yangu na headphones nikiwa na bando basi inatosha
Sent using Jamii Forums mobile app