Ahahaa yote magumu, isipokuwa gari ni rahisi kulinganisha na ubunge, uspika ndiyo kichina zaidi. Rahisi zaidi ni kufuja na kuiba mali za walala hoi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S cry:
Du mada imekaa kimtego mtego, naona mtu unataka kupelekwa force king, maana masaa 24 yesha pita, habari haijavunjwa, haya wacha 2malize machungu ya uchaguzi :sad:
Briatore: We want to stay with FIA
Eurosport - Thu, 14 May 12:00:00 2009
Renault team boss Flavio Briatore has said that Formula One teams want to stay within the framework of the FIA despite several threats to pull out of next year's championship.
Talk of a rival series is also...
Renault join Ferrari in quit threat
Eurosport - Wed, 13 May 17:44:00 2009
Renault have followed Ferrari in threatening to quit Formula One unless the FIA amend their proposed budget cap regulations for next year.
The governing body has stated that those who adhere to a £40 million...
Wednesday, May 6 05:19 pm
ITN
A Kenyan man hanged himself wearing his beloved Arsenal's shirt after their Champions League defeat to Manchester United.
Suleiman Omondi, 29, was found hanged at his home in a middle-class Nairobi estate shortly after leaving distraught from the pub...
source Mwananchi 4/30/2009
Habel Chidawali
HATIMAYE serikali sasa imeeleza bayana kuwa kampuni ya Ticts inayoendesha kitengo cha kupakua na kupakia makontena kwenye Bandari ya Dar es salaam imeshindwa kazi na sasa inapitia upya mkataba ulioipa kampuni hiyo haki peke.
Waziri Mkuu Mizengo...
Nakubaliana na wakuu wanao tetea kwa kusema jamaa degree zao za mwanzo ni za uhakika sababu zimetota UDSM au western Countries, sawa, lakini unapokuwa lecturer halafu hufahamu kuwa unasoma chuo/taasisi ambayo haukubaliki ni jambo gumu kidogo kuingia akilini.
Pia hao jamaa watakuwa wametumia pesa...
Aunty Lao nikitazama msg yako naona mumeo hana tatizo, mfano mimi mwenyewe ninapokuwa nimechoka nipo nyumbania na mkewangu na mwanangu ukinipigia simu sina haja hata ya kutazama ni nani maana naweza kuona aibu nakupokea hiyo simu baada ya kuona mtu anatipigia niwa karibu sana, ila kama mke na...
Walikuwa mabaharia wenyewe ukiwauliza wototo wa taifa kubwa ni nani? watuambia wototo wa Temeke, sasa sijui walifika vipi? nimesoma naona wengi ni story za kupewa hakuna mwenye fani! kwani ni ujanaja kuwajua wazee wa shamba? kama ndiyo kweli mbona hamuendi. Kumbuka banadari yenyewe ipo temeke.
Mkuu Phillemon Mikael Musiba nae ni mtu wa kugandamizia sana soma vitabu vitatu James hadley chase kisha niambe, hivyo usimfananishe na Marahemu Mtobwa (RIP).
RIP BEN MTOBWA.
Mimi namkumbuka mamboz ya Joram Kiango, mpelelezi mahiri. Hivi huyu ndo alitunga pia kitabu cha Twenzetu Ulaya, Mkjj nikumbushe.
Nadhani Twende zetu Ulaya kimetungwa na Freddy Macha. Mtobwa RIP
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.