Simu na Mahusiano

Wakuu kama una mambo ya nyumba ndogo tafuta simu yenye function ya call reject (Sony ericson na LG latest) unakuwa na option ya muda flan niruhusu simu gani na unaopt kusend busy tone kwa aliyekupigia. akikupigia itaflash kwenye screen ya simu yako bila kuonyesha missed call lakini kwake itamwambia busy so baada ya hapo utaamua umpigie au utume msg.
 
'Hun uko wapi?' Unajibu huku kiroho kikienda mbio 'aah...niko hapa Tunda Pub, tunapiga mbili tatu na washkaji wa job'...'Mbona siko mbali na hapo? nipe dakika tano tu nitakuwa hapo, niodee mishkaki kabisa'....Mama wee, picha lishasanuka!

LOL. Mtu kadakwa kiulainii.

Mkuu KKN,
Kicheche hawezi kusema alipo moja moja....kabla kujibu yuko wap angeanza na 'kwan we uko wap switi?':)
 

LOL. Mtu kadakwa kiulainii.

Mkuu KKN,
Kicheche hawezi kusema alipo moja moja....kabla kujibu yuko wap angeanza na 'kwan we uko wap switi?':)

...au katikati ya sentensi, simu 'inaisha' charge! :)
 
Za leo wa ndugu, naomba kuuliza je ni fanye nini na tabia ya mume wangu kuhusu simu(mobile phone) Kwa kweli ni jambo lililokuwa likinisumbua kwa mda mrefu sana. My hubby anatabia ya kutopokea simu sometimes, yn cmu yake inaweza kuuita kwa mda mrefu bila yeye kupokea. Then, hasemi ni nani anakaa kimya tuu! Ila kwa investigations zangu mara nyingi huwa ni rafiki zake wa kiume. Je nivema kuwa namuuliza kuwa ni nani au je ni vipi watu huu behave wanapoishi wawili katika maswala ya simu. Maana sipendi kukwazika na sipendi kumkwaza pia.

Aunty Lao nikitazama msg yako naona mumeo hana tatizo, mfano mimi mwenyewe ninapokuwa nimechoka nipo nyumbania na mkewangu na mwanangu ukinipigia simu sina haja hata ya kutazama ni nani maana naweza kuona aibu nakupokea hiyo simu baada ya kuona mtu anatipigia niwa karibu sana, ila kama mke na mtoto hawapo nyumbani naweza nikatazama simu kuona kama ni mke wangu kama si yeye sina haja ya kupoke simu.
Mobile yangu ipo free anytime mke wangu akitaka apokee au apige lakini akipokea asinipe mimi!
Sasa kama humuamini mumeo basi ikiita hiyo simu hauna haja ya kuuliza ni nani wewe pokea hiyo simu lakini uwe teyari kwa lolote, na kama mumeo yupo clean hato mind ukipokea, akiumbia usiguse simu yake ??? !!! @@@@.
Lakini nikisoma msg zako naoa kama ndoa yenu unawasisi nayo, ingawa wewe mwenyewe ulishawahi kufanya mambo hayo, nukuu "Asante sana ndugu, yani ushauri wako huo wakutoa sauti nilikuwa sina kabisa. Na kuhusu no. ya demu kusave kama ni jamaa yake, hapo uhakika ni nnao maana hata mimi kabla ya kuolewa (enzi za usichana wangu) nakumbuka niliwahi kumfanyia jamaa mmoja hivyo maana hakuwa na muelekeo wa mapenzi na mimi na akawa na wivu. So that trick is in my finger tips. Stay blessed."
Nadhani ukijitazama jibu unalo mwenye, unafahamu kuwa utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe?
 
Inawezekana tatizo linaanzia hapo. experience huwa zinatutafuna some times.

Kivipi wakati siziapply tena bali ni yeye ndo mwenye tatizo. Kwa hio mtu akipitia mambo fulani basi huko mbeleni yatamtafuna! hebu nifafanulie hapo ndugu mpendwa.
 
Back
Top Bottom