Pole sana iseee mie nimeumwa mafua sasa huu ni zaidi ya mwaka wa 20.Miaka yote hata sasa naandika hapa nimebanwa mafua ya ajabu na Chafya ndo usiseme nikiamka utajua tu nimeamka maana ni chafya na kubanwa mafua na makamasi mepesi. Nilienda Mhimbili kuwaona wataalamu wa pua na koo nikawana...
Pole na sie ilishatutokea hiyo.tena tukamkuta mzee kalazwa kinondoni hsptl na mke wake ni katoto kadogo kanatuamkia sie na kazaa nako yaani ilikuwa aibu.ila Mama huruma ilimshika ya ajabu sana akamsamehe na akasema akitoka hsptl arudi nyumbani audumiwe.Ilikuwa siku ya jmosi tukashinda nae jpili...
Menopause inategemea na mtu na mtu wengine wana pause ikifika 50 wengine adi 65.na kwa maisha ya sasa wengi wanachelewa kuolewa.hivyo basi haina shida kwa mtu wa kuanzia 30-45 wanazaa tena kwa njia ya kawaida na still bado wanalea watoto wao vyema.Inshu ya kusomesha wala sio shida.maisha ya sasa...
Asante sana.napenda OUT ila pamekaa mbali sana na kwangu.nawaza usafiri huu wa daladala.ila KIU ni jirani na kwangu lakini shida ni kiwango chao cha elimu wanayotoa huwa inanipa shaka sana.
Naombeni msaada nataka kwenda kuongeza elimu wapenda hivyo nataka kujua kuhusu vyuo hivyo KIU na OUT.maana nimeona KIU ada zao zipo juu tofauti na OUT.
Ila nina mashaka na KIU kama elimu yao ni lege lege kiasi flani.embu wajuzi mnijuze jamani nisije kufanya maamuzi yatakayo nipa shida hapo mbele.
Mwanamke kaaumbwa toka ubavuni mwa Mwanaume.Hivyo ni kazi yako kulinda ubavu wako kama wewe ni mwanaume wa kweli.ila kama ww ni Cameroon bhassiii utashindwa na kuacha ubavu wako ukiteketea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.