Leo Asubuhi wamenishangaza pia kwa kuondoa kipindi cha matukio kisa Kada wa chama Elnest Mabina ameuawa na wananchi huko kisesa hivyo issue hiyo ndo inge-make headline leo kwenye kipindi chao, wakaona bora waondoe kipindi cha matukio.
Dawa ya mjinga ni kumpuuza, sasa cjui kwa nini mnapenda ku-pay attention kwa viredio kama hivi. Vikijua mnavisikiliza ndo vinazidisha mijadala isiyokuwa nakichwa wala miguu. Jamani wapuuzeeni watu hawa.
Unajua Kisukari ni ugonjwa wa Ki Sugar ni cronic so si tatizo lake maana una tatizo la kumfanya mtu akapoteza kumbukumbu na akakata tamaa, namshauri atafute huduma ya ushauri nasaha asubiri siku za zake aende kwa amani badala ya kuendelea kujichafua kama popo.
Ndugu wananjii nipeni njii hii nikakamate dhahabu airport Huyu mtu kwishney kabasa, thank God he has finaly shown his true colour. Babu Ryatonga nenda Kiraracha ukalee wajuukuu 2 usubiri siku. Hoja zako hazina mashiko, ulikuja na mbwembwe ulipewa uenyekiti wa kamati ya bunge ya...
Tatizo Magufuli naona anadanganyika sana na ka imani wananchi walikonako kwake, yeye anajibu kwa hisia sana kiasi kwamba anapindikua kuweka mbwebwe nyingi ambazo zinaweza ruin reputatiion and trust wadanganyika waliyonayo kwake.
HUYU NDO TUNATAKA AJE AWAPE MASTERS NA DR AKINA KILANGO, WAKIPEWA NJE MNACHONGA SASA KAJA BADO MNACHONGA. Unajua bwana kwa elimu yangu nilishafanya kauatafiti hapa kwetu Tanzania watu wanasoama ili wapate Heshimiwa na kupata ujiko kwa wadanganyika bila kujali hiyo elimu aliyosomea au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.