Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,278
- 92,339
Walichonifurahisha wabunge wa CHADEMA hakuna alieomba muongozo wa spika maana mtu anapoamuwa kujivuwa nguo ni vizuri ukamuacha ajivuwe abaki uchi, maana hata spika alitaka kumkatiza lakini Mrema akawa mkaidi ikabidi spika amuache tu aendelee. binafsi nimefurahishwa huyu bwana kuachiwa azitumie dakika zake 15 kuongea pumba zake badala ya kuchangia bajeti ya wizara nyeti ya ujenzi.
Ila kwakuwa jimbo analotoka limepiga maendeleo kiasi chake basi sina sababu ya kuwaonea huruma wana Vunjo kwa sababu najua mmempa ubunge kama shukrani yenu kwake na kumpa pensheni yake ya mwisho azeeke kwa amani.
Ila kwakuwa jimbo analotoka limepiga maendeleo kiasi chake basi sina sababu ya kuwaonea huruma wana Vunjo kwa sababu najua mmempa ubunge kama shukrani yenu kwake na kumpa pensheni yake ya mwisho azeeke kwa amani.