M
- Joined
- Apr 20, 2013
- Messages
- 43
- Likes
- 0
- Points
- 0
- Age
- 42
M
MPINGE
Member
Joined
Apr 20, 2013



Ndugu wana jf kwa yeyote aliye na elimu ya namna ya kujaza fomu za taarifa za mwalimu juu ya utendaji wa kazi ulio wazi serikalini kwani tumeletewa huu mfumo ambapo serkali haijato elimu ya kutosha nini cha kujaza katika hizo fomu.