Natafuta Rafiki wa kike Girlfriend

SAid2009

Member
Dec 14, 2009
7
0
Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae, awe na umri wa miaka 18 na kuendelea, sijari dini, kabira wala taifa.
 
Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae, awe na umri wa miaka 18 na kuendelea, sijari dini, kabira wala taifa.
hapa greti thinka anaonekana mnyonge sana na veri despereti. mawaifu to bii changamkieni tenda. yu neva noo hili jamaa linaonekana liko tayari hata kulipia mafuel ya gari, marenti ya kodi ya nyumba na madstv.
 
Sasa si ungetoa namba ya simu ili mchati au unataka kuchati kupitia wapi/
 
SAid2009
Junior Member
red_right.png
green_right.png
Join Date: Mon Dec 2009
Posts: 5
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

MWacheni kuku mgeni
 
Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae, awe na umri wa miaka 18 na kuendelea, sijari dini, kabira wala taifa.
nenda kinondoni makaburini wapo hadi wa miaka 16, tabu yake ni wewe kumtumia voucher ya malipo ya simu yake.
 
Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae, awe na umri wa miaka 18 na kuendelea, sijari dini, kabira wala taifa.

Sema huku JF unamtaka nani nikusaidie najua una aibu sana na mdomo wako ni mzito ka treni za TAZARA, au unaulizia dada zetu? ulivyo utawaweza?
 
hi everyone I'm called Simeu,Im the new member of jamii forum.I'm a social worker by profession.Naomba tuwe pamoja
 
hi everyone I'm called Simeu,Im the new member of jamii forum.I'm a social worker by profession.Naomba tuwe pamoja

Hivi hiyo profesheni yenu inahusikaga na nini hasa katika mazingira ya hapa bongo?
 
Sasa wewe unayetaka mtu wa kuchat naye sijui girlfriend how old are you in first place???kabla hatujaendelea na mambo mengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom