Kwanza naanza Ku clear interest mi ni team ukawa. Ila Magufuli namuunga mkono kwa hili jambo la NIDA, Jana ndio nimepata kitambulisho pale mikocheni kwa warioba. Kwa kifu vitambulisho vimechukuwa muda mrefu sana kutoka. Pili hivi vitambulisho vya ovyo sana, yaani kitambulisho kina majina matatu...
Kwa nyie msio kunywa mnamuona ticha kama kituko. lkn kwa si wanywaji kukojoa karibu na gari wala sio issue kanisa, yaani unamshoot mlevi mwenzio kisa kakojoa karibu na gari yako kweli?, pumbufu kabisa Huyo jamaa akitoka jela tunamnyang'anya leseni ya unywaji na kumiliki bastola
Ni kweli, nilijichanganya mwishoni nikajiunga na makundi mabovu hatimae ni kachemsha ila niliumia sana, lkn mwanzoni nilikuwa napasua sana pamoja na kuchora. Nimekula sana vichori na ice cream kwa kuwachorea ramani mabinti hasa jiografia
Asprin Achaean kunuu watu vibaya, hujaambiwa kuwa ili upate ajira lzm ujifunze kichina. Soma tena nilichokiandiki, usikurupuke tu, halafu eti elimu elimu elimu.Sasa kwa hapo ninani anahitaji elimu kama sio wewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.