Recent content by shemasi

  1. shemasi

    Aggreko wins Tanzanian contract to supply emergency power

    pamoja na yote mie naomba kujua hiyo mitambo inakuja lini na uzalishaji utaanza lini pia
  2. shemasi

    Sakata la Amri ya Kuwakamata Maaskofu : Mahakama yetu haijawa ya Kadhi

    busara itumike zaidi kwenye jambo hili
  3. shemasi

    Ukiona Mtu mzima analia, ujue yamemkuta

    tubuni siku ya hukumu yaja
  4. shemasi

    Wanawake wengi wa mijini 16-28 yrs MCHARUKO sana

    utafiti wako unatia shaka kidogo mtumishi kwani unaposema wengi ni vigumu kujua ni wengi kiasi gani kwani kwa uzoefu wangu wingi unaanzia mbili.ungetaja asilimia ningeweza kukubaliana nawe ila huu utafiti wako inaonekana umeufanyia kwenye keyboard yako.
  5. shemasi

    Waziri kivuli CHADEMA aachia ngazi

    panapofuka moshi
  6. shemasi

    Natafuta kazi yoyote itakayoendana na shahada yangu

    Kila la Kheri Mtu wa Mungu
  7. shemasi

    Dunia ina mambo

    maybe :bolt:
  8. shemasi

    Udini wapenyezwa madai ya katiba; Maandamano yasifanyike Dar madai ni agenda ya kumng'a Rais

    udini sio mzuri na utaliangamiza taifa letu kama hatutakuwa makini. Roho hii si njema na yatakiwa kukemewa sana
  9. shemasi

    Mtanzania apeta marekani!

    ubarikiwe sana kwa kutuwakilisha vyema. Mungu akutangulie
  10. shemasi

    Huyu Membe Naye!

    thread ya kipuuzi kabisa
  11. shemasi

    Uyoga wa magazeti kuelekea 2015

    Mtumishi wa Mungu nakemea kwa nguvu zote wanasiasa wa aina hii. wanasiasa wanatakiwa kutanguliza maslahi ya wananchi mbele na sio faida zao za kisiasa.
Back
Top Bottom