Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Wakuu, mungu ni wa ajabu tena sana na sema wa AJABU, nimekutana na jamaa yangu mmoja analia, kumuuliza kaniambia simple and understoodable words....
magu Mungu asingetufanya tuwe tunasahau kila mmoja wetu angekuwa anatembea mikono juu analia, nikamuuliza kivipi mkuu? Kanambia toka nioe mke wangu nimemfumania mara tatu ndani ya kitanda changu, nalia maana najisikia machungu, how many times huwa anacheat nje?...kweli nikatulia na kujiuliza...kama three times ndani ya kumi na nane je nje ya box mara ngapi?......
je wewe mwana jamiif kama mungu asingekusahaulrisha leo hii ungekuwa unatembea mikono KICHWANI?
magu Mungu asingetufanya tuwe tunasahau kila mmoja wetu angekuwa anatembea mikono juu analia, nikamuuliza kivipi mkuu? Kanambia toka nioe mke wangu nimemfumania mara tatu ndani ya kitanda changu, nalia maana najisikia machungu, how many times huwa anacheat nje?...kweli nikatulia na kujiuliza...kama three times ndani ya kumi na nane je nje ya box mara ngapi?......
je wewe mwana jamiif kama mungu asingekusahaulrisha leo hii ungekuwa unatembea mikono KICHWANI?