source: mzee wa sumo (Mpoki Bukuku)
Mwenyekiti wa Timu Maalumu (Task Force) ya Rais ya kuchunguza wizi wa mabilioni ya shilingi Benki Kuu katika kashfa ya ufisadi, Johnson Mwanyika (kushoto), ameshindwa kutoa hesabu kamili ya pesa wanayodai kukusanya na hakuwa na jipya la kueleza badala yake...