Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Hapa hatuongelei chama hapa.
Huwa, nakataa 99% ya anavyovisema jamaa, na hasa style yake ya majadiliano pale anapokuwa cornered ku defend "dataz" zake kwa wale tunaokataa kuzibugia bugia kama maji ya sharbati.
Hapa nimekusanya nguvu kumpa credit kwa ile comment kwa sababu zisizohusiana na itikadi za chama hata kidogo.
Notice, nimesema sio binadamu wengi wanaweza kufanya alichosema pale. Kama ni objectivity kwenye siasa za vyama ni wengi tu wako fair-minded kwenye hilo. Kwa hapa kuna nobility that runs deeper that party politics.
Interesting...
By the way, nimekuangalizia kwenye kamusi ya English-Swahili kuhusu maana ya neno naivete. Kwa mujibu wa kamusi, maana yake ni ushamba!
Kwa mujibu wa kamusi niliyoangalia, maana ya neno naive maana yake ni...ujinga ujinga