Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,155
- 10,580
Kuhusu kabila teule hapa naongelea WACHAGA, mimi ninafikiri au ninapendekeza kuwa hili kabila lipewe haki ya kikatiba ya kutawala Tanzania ktk nyanja zoote za nchi yetu kwa muda fulani...ili waweze kufundisha makabila mengine kuhusu mambo ya kimaendeleo.. pendekezo langu hili linatokana na utafiti wangu (wa kienyeji /sio rasmi) nilioufanya kuhusu hawa watu na kungundua kwamba wana utamaduni tofauti sana ukilinganisha na makabila mengine ya nchi yetu, na utamaduni wao umeelekea zaidi ktk mambo ya kimaendeleo kuliko makabila mengine mfano mdogo tuu ni kwenye elimu wakati wa nyerere ambaye hakuweza kujenga shule yeyote ile ya sekondari ktk kipindi chote alichokaa madarakani, lkni hawa watu wachaga walikuwa wanajenga shule za wazazi ambapo wazazi walikuwa wanalazimka kuchangia na matokeo yake tuliyaona kwamba pamoja na siasa za nyerere watu hawa bado walifanikiwa sana ktk kujenga shule nyingi... pia kingine ni mafanikio ya hawa watu ya kimaendeleo popote pale walipo ktk nchi yetu, kwani ushahidi wangu unaonyesha kwamba ktka kila ncha ya nchi yetu niliyotembelea na niliwakuta hawa watu kuanzia nyumbani asilia kwa wazazi wangu tabora vijijini mpaka sumbawanga na kila nilipowakuta walikua wamefanikiwa zaidi kuliko wenyeji kimaendeleo na woote tunawaita mangi...
Pia ukienda mkoa wao kwa kweli unavutia jinsi ulivyopambwa kwa maua mazuri hata vijijini kwao wameweza kujenga nyumba bora pamoja na miundo mbinu imara ukilinganisha na makabila mengine.. kwa hiyo kutokana na hiyo mifano michache mimi nafikiri kuna kitu maalaumu ambacho hawa wau wanacho na makabila mengine wamekosa na hivyo naona haitakuwa vibaya kama tukiwabidhi nchi na kutufundisha utamaduni wao kwani unaonekana ni wa kimaendeleo.....
Pia ukienda mkoa wao kwa kweli unavutia jinsi ulivyopambwa kwa maua mazuri hata vijijini kwao wameweza kujenga nyumba bora pamoja na miundo mbinu imara ukilinganisha na makabila mengine.. kwa hiyo kutokana na hiyo mifano michache mimi nafikiri kuna kitu maalaumu ambacho hawa wau wanacho na makabila mengine wamekosa na hivyo naona haitakuwa vibaya kama tukiwabidhi nchi na kutufundisha utamaduni wao kwani unaonekana ni wa kimaendeleo.....