Kama ulimaliza wakati vyeti havijaanza kuwekwa picha huwezi kupata mbabadala,, ila kama umemaliza wakati wa vyeti vinawekwa picha utapata vyote,,,, hatua ni nenda kaandika tangazo la kupotelewa na cheti katika magazeti ya habari ( hawataki magazeti ya udaku) baada ya gazeti kutoka lenye tangazo...
Wabongo tatizo tunapenda sana kujifanyia vile ambavyo tunapenda, barabara ni ya basi za mwendo kasi ukikutwa ukagongwa mnalalamika, kwan ukipita barabara ya kawaida kuna polisi atakufata,, acheni kushabikia mambo ya kipumbavu kama hayo,, ukitii sheria na atakufata,, sio kila kitu siasa mengine...
Huo ni uwezo mdogo sana wa kufikiri,, kampuni za sim wanapata faida kubwa lakini pia ni wakwepaji wazuri kodi,, sera ya uwekezaji tanzania tunampa muwekezaji grace period then baada ya hapo ndo tunaanza kudai kodi,, ukiona ivo grace period imekaribia kuisha,, wanabadilisha majina tuu but...
Link hiyo apo tupitie kwa makini afu tutoe mchango wetu kwa facts na data.
IMF Executive Board Completes the Fifth Review Under the Policy Support Instrument for Tanzania
Ndo maana kuna supplementary budget,,, inayojadiliwa na bunge mweZ wa 12,,,, kila Kitu kinawezekana,,, ukihitaji kujua maana ya supplementary budget nifate pm
Namna hii tutabaki kua maskini daima,,, kila Kitu ni mtazamo Hasi, kila mtu ni mwanasiasa Tanzania Tatizo,,, hivi kweli Unaweza kaa chini afu ukawaza kuandika ivo,, ndo Hawa ukiweka kodi watalalamika wananchi wanabebeshwa mzigo,,, Asa unataka kodi alipe Mzungu peke ake,,, nchi yetu tuijenge...
Mmmh siasa bhana,,,, ndo maana sijawah kua mfatiliaji wa siasa,,,, Kuna Watu walienda adi stand kukaa nao,,, Au ndo natafuta kik,,,, Daaaaaaa mi Napita tuuuu,,,, tuliona hili tukio inauma sana Eti,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.