Recent content by Sella

  1. S

    Kikwete Knows Well,KENYA will monopolise East Africa

    I dont think we hate Kenyans as people, what we dont like ni tabia yao (Kikuyus are not human beings...they are animal), i have been working here in kenya for the past two years..na nilichoona zaidi ni roho mbaya, too much skimming, umbea , kujipendekeza etc
  2. S

    Kilango asema hana Ugomvi na Lowassa

    Nazani wanaosema mama kilango anaropoka na apime anayosema wanakuwa na upeo mdogo mno, mama kilango alichosema ni kwamba hana kinyongo na EL na that doesnt mean amemfagilia
  3. S

    Lowassa anasafishwa!

    Mheshimiwa Zitto, Wewe ndugu yangu ukiwa kati ya watanzia unayetambua vizuri influence ya kina lowassa, rostam, chenge na wengine...unataka kutuconvice kwamba Jopo la majaji litakuwa huru? I dont believe and i dont want to believe kwamba haki itapatika through jopo la majaji Pasco...Off all...
  4. S

    The most hated persons

    Rostma Aziz Edward Lowassa
  5. S

    Land Cruiser VX Inauzwa

    Kisusi VX ya CC 4500 ni petrol unless umekosea kwenye cc hapo juu, angalia fresh mzee
  6. S

    Land Cruiser VX Inauzwa

    Mkuu hiyo Bei irevise manake ipo juu mno, hiyo ni gari ya 1995, na ni petrol so unaongelea CIF dola elfu sita mpaka nane, hata ukiweka kodi na dumping fees bado haifiki huko, so angalia bei yako
  7. S

    Lowassa Kuanzisha ABC Television Arusha

    Huyu Elias Lukumay ni mtoto wa Mzee Stephen Lukumay, rafiki wa karibu wa Fisadi Lowassa ( Ni mtoto wa mwenye NAM Hotel Dodoma). Huyu ndio anatumiwa na Lowassa katika mambo yao mengi tu ikiwepo ile Bonded ware house iliyowahi kufungiwa.....Elias ni rafiki wa karibu wa Fred Lowassa na sasahivi...
  8. S

    Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

    Ndugu yangu mbona unakuwa mkali....Ni ukweli usiobishika kwamba majority wa watanzania wanaoishi huko mnakokuita kiwanjawanafanya kazi ya kupiga box na kuishi maisha duni japo kuna wachache wanaofanya kazi professional. Usiwe mkali ndugu yangu tunataka kukusaidia tu urudi nyumbani ule pipi...
  9. S

    In Edward Lowassa, I trust...

    Lowassa is a sick story na nazadi tunapoteza muda wetu kumjadilia fisadi, jamambazi lowassa badala ya mambo ya muhimu kwa nchi yetu
  10. S

    Kikwete azidiwa jukwaani, akimbizwa mapumziko

    Huyu naye anahangaika tu...hana la jipya..Perdiem itamtoa roho
  11. S

    Mazuri ya Edward Lowassa

    Kibaraka mwingine wa Fisadi Edward Ngoyai Lowassa (Mmeru)..................EL is pathetic and its big shame to have people like u trying to come here with your cheap propagandas kumtetea huyu Fisadi.....Tanzania as a nation doesnt want him even if he is a great performer, Kama unataka...
  12. S

    Mmasai na chupi

    Watu wa ajabu kivipi?
  13. S

    Tamko la Ikulu juu ya Richmond

    Ndugu yangu kama mtu ni IDIOT lazima watu waseme...hata kama ni mkuu wa nchi lakini mambo anayofanya yanatufanya sisi watanzania tuliompigia kura kuhoji utashi wake, unavyojaribu kumfananisha JK na Mwalimu unakosea sana manake mwalimu alikuwa hakumbatii mafisadi, na wala alikuwa hawapi watu...
  14. S

    Kagoda: Ni Rostam

    Huyu DPP anaongea pumba sana...yeye aseme kapewa order ya kuwaacha na bwana mkubwa shauri hela aliyochukua swahiba wake RA zilitumika kwenye kampeni za ccm na asitake kutugeuza watanzania wajinga
  15. S

    Picha za watoto wakiwa swimming pool

    Aibu gani sasa? kama ingekuwa wanazivaa wanatembea nazo barabarani ndio ingekuwa aibu lakini kama wanavaa wakati wakiogelea tu mimi sioni tatizo kwakweli
Back
Top Bottom