Picha za watoto wakiwa swimming pool

Du watoto inabidi wawe wanafanya mazoezi, vitambi si mchezo.

teh teh teh,
icon10.gif

we unadhani kila siku au weekend toto lajishindilia miburger, mipizza, mijichipsi na vyuku unategemea nini?
akifika miaka 20> tayari mara bp na magonjwa lukuki
 
Last edited:
Mkuu YoYo
duh sio under age hao? Nitajafungwa bure ngoja nizime kipajaisho changu

Yes, some of them ni underage... lakini, huo ni ufukwe na raha yake ni kuogelea. Nakumbuka hata late seventies watu walikuwa wakivaa hivyohivyo katika fukwe za dar, hata tanga... na zanzibar vilevile (ingawa kule kuna baadhi ya bichi ndio walipokuwa wanakatia magogo)!!!

Na hakuna hata mmoja katika hiyo picha aliyeonekana kuwa na matamanio kwa mwenzake... LETS BE POSITIVE, BUT GUARDIANS AS WELL
 
aah broda sijui labda mmezoea culture za majuu....imagine weye ni mzazi wa huyu binti na unaona picha yake kwenye gazeti la shigongo utajisikiaje?
1247399948_9.jpg


ona mwenyewe.....

Jamani huyu ni mtoto au mtu mkubwa tu anawatega watoto? mbona hata nido yake imeshachoka si li mama kubwa tu hilo?
 
Inabidi waalimu waelekeze mavazi rasmi yenye maadili ya kitanzania ya kuogelea, na yapo tuu mengi madukani
 
nafsi ina niukumu kwa nini sikuenda,dah watoto kweli walitoka kimajuu sio mchezo....mama joe haya ndio matunda ya utandawazi.
 
Ila swla la mazoezi nyumbani naona watu wanaona halina umuhimu sana, mastar kibao 2 nawaona wana vitambi kishenzi; wazazi inabidi waonyeshe mifano kwa watoto wao coz mtoto akiwaona wazazi hawana mda wa mazoezi na yeye halichukulii maanani.

wasichana karibu 95% hapa Bongo wanavutiwa na vitambi .
 
Mavazi sahihi, mahali stahili
msilete kusihi, pasipo stahili
wastaili kuishi, si kwa ubatili
kuvaa kusitiri, si utupu upenuni

kunya anye kuku, kwa bata ni matata
aliyevaa yupo huku, wa mbali unamatata
mazingira si yakushuku, watoto wameyapata
kuvaa kusitiri, si utupu upenuni

kama i kwa ofisi, hapo kuna mashaka
ila kwa binafsi, ya nini kuwa shaka
kila kitu kwa nafasi, msuli nalo shuka
kuvaa kusitiri, si utupu upenuni

acheni unafiki, kusingizia maadili
mavazi ni hakiki, nyie mwayajadili
mazingira stahiki, si huku mjadili
kuvaa kusitiri, si utupu upenuni

tazama mazingira, jinsi yanavutia
vikoi wamevingira, bambataa kufunikia
nini usisubira, uanze kuwabwatia
kuvaa kusitiri, si utupu upenuni
 
Yes, some of them ni underage... lakini, huo ni ufukwe na raha yake ni kuogelea. Nakumbuka hata late seventies watu walikuwa wakivaa hivyohivyo katika fukwe za dar, hata tanga... na zanzibar vilevile (ingawa kule kuna baadhi ya bichi ndio walipokuwa wanakatia magogo)!!!

Na hakuna hata mmoja katika hiyo picha aliyeonekana kuwa na matamanio kwa mwenzake... LETS BE POSITIVE, BUT GUARDIANS AS WELL

wacha maapizo!! miaka ya seventies ulikuwa unaielewa zanzibar na uongozi wake au ulihadisiwa tu ?wacha kivazi hicho cha kuonesha maungo, kuliva BUGA ulikuwa unawekwa ndani na kupigwa Viboko baridi na moto wakati wa kuingizwa na kutolewa jela .
 
Aibu gani sasa? kama ingekuwa wanazivaa wanatembea nazo barabarani ndio ingekuwa aibu lakini kama wanavaa wakati wakiogelea tu mimi sioni tatizo kwakweli
 
Picha hizo wanaziona kila siku kwenye TVs na Internet ndio usiseme kuona live hivyo hawashangai kitu. Ila hao ni watu mchanganyiko wa umri mkubwa na mdogo.

Cha kufanya kwa watoto sasa hivi ni kuwafundisha mambo mema na mabaya na wamjue Mungu lakini kuwazuia kuona bila elimu hapo pagumu. Mtoto atakuambia huo mkanda wa X tulishauona wote siku nyingi.

Swali hapo ni hapa hapa Bongo au Ulaya?
 
mbona mimi sioni kitu cha ajabu hapo..? angekuwa amevaa sokoni hapo sawa..! kwanza hiyo sio chupi ni swim suit. THE IRONY ..watoto wote waliomzunguka hawamshangai unakuja kumshangaa wewe hapa JF. Enzi za MWALIMU MABINTI WALIKUWA WANAOGELEA UCHI WA MNYAMA! nenda vijijini ujionee!
 
Nadhani huu ni wakati mwafaka kabisa wa kuwajenga watoto wetu uwezo wa kujiamini. WaTZ wengi wanakosa hii kitu kujiamini, Hebu angalia hiyo picha, inamuonesha sura ya huyo binti akiwa firm na kujiamini kabisa, angalia wengine...wamejikunyata...dalili ya kuonesha kuwa wanaunyonge katika fikra zao!

Ni kweli hatuwa iliyofikiwa inatia moyo nawapongeza watayarishaji kwa kazi yao nzuri ya kuleta maendeleo katika jamii ni moja kati ya maendeleo hatua moja baada ya nyingine, ningewapa ushauri hatua ya pili iwe Bikini beach kwani hali ya hewa inaturuhusu zaidi kuliko hata wazungu ambao kwao ni baridi ,hivi nikulizeni kwani miwani yangu ipo mbali na hapa nilipo hao wasichana wanakisiwa kuwa na umri gani ?ijapokuwa sioni vizuri bila miwani lakini hayo matiti yanaoneka kama vile yale ya Mbwa anaye nyonyesha,ni maumbile au ndio alianza kulicheza BOLINGO mapema sana?
 
nyie cheni unafiki wenu kuwaharibu watoto wa wenzenu........hivi wewe ungefurahi kuona picha kama ile inatoka gazetini ya mwanao wa kike? acheni hizo.......msituletee tabia za majuu.....
1247399948_9.jpg
 
Jamani mbona hizo picha hazina tatizo labda mletaje a point out kuwa ni nini cha kushangaza maana wote wako katika hali ya kuogelea na pia kuna aina tofauti za swiming costume

Wangekuwa wamevaa hivyo alafu wanakata mitaa ya ubungo au kariakoo hapo ingekuwa issue, lakini wamevaa swimwear na wapo swiming pool Kuna shida gani? TATIZO anayepublish picha za hawa watoto kwenye gazeti kwasababu zitasomwa na kuonwa na sisi washamba ambao hatufiki maeneo hayo na ndio mwanzo wa mijadala kama hii
 
nyie cheni unafiki wenu kuwaharibu watoto wa wenzenu........hivi wewe ungefurahi kuona picha kama ile inatoka gazetini ya mwanao wa kike? acheni hizo.......msituletee tabia za majuu.....
1247399948_9.jpg

Kwanini itoke gazetini? kwa hiyo hata wewe unakubali kuwa kuvaa hivyo ukiangalia na mahali walipo sio kosa? kama ni Hivyo tuwalaumu akina shigongo na michuzi Jr. Kwa kupublish picha za watoto tena bila ridhaa yao. Hii ndio kesi tujadili hapa, Je ni halali kupblish picha za watu wakiwa kwenye maisha yao private? tena watu wasiotumia kodi yetu??
 
Inabidi waalimu waelekeze mavazi rasmi yenye maadili ya kitanzania ya kuogelea, na yapo tuu mengi madukani

Maadili ya kitanzania ndio yakoje? unaweza ukasema vazi la mtanzania ni Lipi? suti? Kanzu? Ngozi? Magome ya miti?
 
hawa watoto au wamama wazima? huo ni ulimbukeni tu. japo nadhani kwa mujibu wa tamaduni zetu hatujafikia huko..... lakini tunajipeleka wenyewe, kwa njia mbali mbali. watoto wetu katika mashule ya "kimataifa" wanayoyafanya huko katika mitoko yao ni ya ajabu....... Mungu atusaidie
 
Mvutano unaoendela kati ya wauzaji wa vocha wadogo wadogo wa watumiaji kwa upande mmoja na makampuni ya simu na wauzaji wa jumla kwa upande mwingine ni mzigo mwingine kwa walaji wadogo wadogo...

Ieleweke wazi kuwa ni wajibu wa makampuni ya simu kuwajali hawa waajiri wao wasio rasmi, wanaowauzia vocha zao. wasikimbilie katika vyombo vya habari na kusema ongezeko la bei ni dogo, halitaathiri bei kwa mlaji.... kama wanavyosema hawa vijana ni sahihi, basi ni vyema kuyaambia haya makampuni yetu ya simu kuwa

"Acheni unafiki wa kunyonya mbu na kumeza ngamia..."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom