GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
Du watoto inabidi wawe wanafanya mazoezi, vitambi si mchezo.
teh teh teh,
we unadhani kila siku au weekend toto lajishindilia miburger, mipizza, mijichipsi na vyuku unategemea nini?
akifika miaka 20> tayari mara bp na magonjwa lukuki
Last edited: