Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Kikwete hatogombea mwakani; tulilidokeza hili a while ago. Tunamuombea afikie uamuzi huu mapema zaidi ili apate muda wa kushughulikia afya yake.
Kama ni kweli, Naogopa.
Kikwete hatogombea mwakani; tulilidokeza hili a while ago. Tunamuombea afikie uamuzi huu mapema zaidi ili apate muda wa kushughulikia afya yake.
i think watu wameikuza kupitiliza habari hii, nimeangalia habari asubuhi si kama watu wanvyotaka tuamini.hivi hatuwezi kutoa taarifa kama ilivyotokea hadi tuongezee na uongo?
hapo Mwanza kuna nini?? labda raia wanataka Mwanza califonia waliyoahidiwa
Labda ni uchovu kweli maana mr prezident nae anazunguka sana hata hapati muda wa kupumzika
Kikwete hatogombea mwakani; tulilidokeza hili a while ago. Tunamuombea afikie uamuzi huu mapema zaidi ili apate muda wa kushughulikia afya yake.