Kikwete Knows Well,KENYA will monopolise East Africa

Status
Not open for further replies.
Smatta,

As other members have opined, these signings are between some rich
people who are out to fleece the masses in all three countries. That is
where the zeal is coming from.Corruption abounds in Kenya while in Tanzania
it goes unabated yet we turn a blind eye to stemming such. Wajinga ndio
waliwao and when the dust settles the poor man will be as poor as he was
when the drama started.

Regards.

Mkuu, last friday na saturday palikuwa na TV program kwenye channel 24 na citizen (kama sikosei) kuhusu hiyo opening ya hizo border kiuchumi, i could see wale wachumi magwiji wa kenya walivyokuwa wanashangilia a "dream come true", nilifurahi sana kwasababu pamoja na dharau na kila kitu they saw hii kama opening ya kufa mtu hasa kwenye investiment, my first reaction was... its going to be only one way traffic ya investiment and i am right... these integration huwa haziwapi nafuu sana akina smatta au MTM, ni za akina matiba, lowassa, mengi, rostam nk

we subiri kuona yale ya east na west german!!!
 
wadau,i do agree with cerezo,hongera...what i think from my point of view,its pointless to keep avoiding the kenyans(the fact is we have enought chinies who hold a big part of tz market in kariakoo and all over the country and kaburu who ownes the biggest investment to mention a few) or ea federation caz soon or leter tz will have to deal with aggressive kenyans.am getting the feeling that its all about race in a big picture caz tz tend a value whites that blacks.what tanzanians need is CHANGE,change of belive system,mind set,the change from within and not from without we tz need to stop complaining about how the kenyans will benefit instead focus on how we will gain from it from the best we can offer.
 
wadau,i do agree with cerezo,hongera...what i think from my point of view,its pointless to keep avoiding the kenyans(the fact is we have enought chinies who hold a big part of tz market in kariakoo and all over the country and kaburu who ownes the biggest investment to mention a few) or ea federation caz soon or leter tz will have to deal with aggressive kenyans.am getting the feeling that its all about race in a big picture caz tz tend a value whites that blacks.what tanzanians need is CHANGE,change of belive system,mind set,the change from within and not from without we tz need to stop complaining about how the kenyans will benefit instead focus on how we will gain from it from the best we can offer.

Good Comment, lakini bado tunahitaji kuprotect interest zetu na kuangalia gains KWA UPANA zaidi. We shouldnt involve on things that will make us loose .Land issues is very crucial, must be reserved. Employment is Vital must be protected. I dont like to see that ones lost a chance of employemnt on his/her own land ! whereas will they go? Kny ? not at all.
 
Mkuu, last friday na saturday palikuwa na TV program kwenye channel 24 na citizen (kama sikosei) kuhusu hiyo opening ya hizo border kiuchumi, i could see wale wachumi magwiji wa kenya walivyokuwa wanashangilia a "dream come true", nilifurahi sana kwasababu pamoja na dharau na kila kitu they saw hii kama opening ya kufa mtu hasa kwenye investiment, my first reaction was... its going to be only one way traffic ya investiment and i am right... these integration huwa haziwapi nafuu sana akina smatta au MTM, ni za akina matiba, lowassa, mengi, rostam nk

we subiri kuona yale ya east na west german!!!



Yes, it's a class struggle: Ni kwamba Daily nation ni mali ya Aga Khan Foundation, kama zilivyo AiR Uganda na Serena chain of hotels. Unilever, ilianzia huko Dublin miaka ya 1926 na leo ni a true multinational ikiwepo mabara yote isipokuwa antarctica, kwa maana ndiyo supplier wakubwa wa consumer products kwenye soko hili. EABL ni mali ya Diageo. KQ wakenya wana nadhani 25% stake, na KCB ni mali ya wahindi. Kwa upande mmoja Nakumatt na Uchumi mtaji wake uliporwa kwenye hela za wananchi maskini waKenya ambao pia walishanyan'gagwa ardhi yao. Hivyo hivyo brookside ya Uhuru Kenyatta mtaji wake ndio ungejenga vyuo vikuu vya umma na mahospitali ya wakenya maskini. Hapa kwetu, Bank M ya fisadi Mkapa, na mali kibao za vibaraka wake zingefanya vitu vikubwa kwa ajili ya mtanzania maskini ambaye ameporwa mali zake na viongozi wahaini, wasaliti na wauaji. Ndio maana wanaweza kutembelea magari ya milion 800 na hakuna anayweza kusema. Hawa watu walikuwa wa kuwa cremated au kufungwa maisha na kunyag'anywa kila kitu, lakini nani atafanya hivyo? State machinery wameinunua, ni miungu watu, wanafiki. Wangeweza kula na kushiba na wakafanya vizuri, lakini wakaamua kuteketeza kila kitu na kuharibia wananchi, kazi tunayo! Maana hakuna wa kuwauliza! Wote tuko kwenye shit moja, isipokuwa sisi haya ni mapya kwetu, sasa tuwe makini angalau huu unyama usilete maafa. Ninachosema, nadhani wakenya wao walishazoea maana hawajitambui, sisi pia yametokea ila tukizidi kuyaruhusu damage itakuwa beyond repair, if we shout we can salvage something esp land and employment. Kwa hiyo mwananchi maskini, iwe Mkenya au mtanzania hana lake, ingawa simaanishi kuwa tuwakaribishe wageni bila kuangalia interest zetu kwanza, if anything Wakenya wawadai viongozi wao waliowapora..maybe we can borrow a leaf, but we should be doing the same as well.

Ona Moi anamiliki dola bilioni tatu, kiongozi wa umma, huyu ni mwizi kama alivyo Mkapa na genge lake, kwa hiyo Mkenya anaposema wako ahead, ni kutojitambua, if we r not careful tutanyang'anywa kila kitu na sisi. CCM mpaka ipasuke yenyewe, kuiondoa kama yenyewe kazi ni ngumu, bado wanatumia mgongo wa Nyerere, na vijijini watu hawajui kuwa CCM ya Mwalimu siyo ya sasa, after all, hawawezi ku-analyze. Ndiyo maana CCM wanapeta kwa kwenda mbele. Suluhisho, we need to create awareness kwa mabadiliko haya ili watanzania wayajue, tusichoke.
 
Yes, it's a class struggle: Ni kwamba Daily nation ni mali ya Aga Khan Foundation, kama zilivyo AiR Uganda na Serena chain of hotels. Unilever, ilianzia huko Dublin miaka ya 1926 na leo ni a true multinational ikiwepo mabara yote isipokuwa antarctica, kwa maana ndiyo supplier wakubwa wa consumer products kwenye soko hili. EABL ni mali ya Diageo. KQ wakenya wana nadhani 25% stake, na KCB ni mali ya wahindi. Kwa upande mmoja Nakumatt na Uchumi mtaji wake uliporwa kwenye hela za wananchi maskini waKenya ambao pia walishanyan'gagwa ardhi yao. Hivyo hivyo brookside ya Uhuru Kenyatta mtaji wake ndio ungejenga vyuo vikuu vya umma na mahospitali ya wakenya maskini. Hapa kwetu, Bank M ya fisadi Mkapa, na mali kibao za vibaraka wake zingefanya vitu vikubwa kwa ajili ya mtanzania maskini ambaye ameporwa mali zake na viongozi wahaini, wasaliti na wauaji. Ndio maana wanaweza kutembelea magari ya milion 800 na hakuna anayweza kusema. Hawa watu walikuwa wa kuwa cremated au kufungwa maisha na kunyag'anywa kila kitu, lakini nani atafanya hivyo? State machinery wameinunua, ni miungu watu, wanafiki. Wangeweza kula na kushiba na wakafanya vizuri, lakini wakaamua kuteketeza kila kitu na kuharibia wananchi, kazi tunayo! Maana hakuna wa kuwauliza! Wote tuko kwenye shit moja, isipokuwa sisi haya ni mapya kwetu, sasa tuwe makini angalau huu unyama usilete maafa. Ninachosema, nadhani wakenya wao walishazoea maana hawajitambui, sisi pia yametokea ila tukizidi kuyaruhusu damage itakuwa beyond repair, if we shout we can salvage something esp land and employment. Kwa hiyo mwananchi maskini, iwe Mkenya au mtanzania hana lake, ingawa simaanishi kuwa tuwakaribishe wageni bila kuangalia interest zetu kwanza, if anything Wakenya wawadai viongozi wao waliowapora..maybe we can borrow a leaf, but we should be doing the same as well.

Ona Moi anamiliki dola bilioni tatu, kiongozi wa umma, huyu ni mwizi kama alivyo Mkapa na genge lake, kwa hiyo Mkenya anaposema wako ahead, ni kutojitambua, if we r not careful tutanyang'anywa kila kitu na sisi. CCM mpaka ipasuke yenyewe, kuiondoa kama yenyewe kazi ni ngumu, bado wanatumia mgongo wa Nyerere, na vijijini watu hawajui kuwa CCM ya Mwalimu siyo ya sasa, after all, hawawezi ku-analyze. Ndiyo maana CCM wanapeta kwa kwenda mbele. Suluhisho, we need to create awareness kwa mabadiliko haya ili watanzania wayajue, tusichoke.

Thanks, thanks asante, shukran, ahsante, merci, asante, asante!!! Hii sera ya kiuchumi itanufaisha wenye navyo, sijui kama sheria za kibiashara, taratibu za ardhi na capital investment zikoje...

sie watu wa kawaida.... we are too blind to see it!!!
 
Good Comment, lakini bado tunahitaji kuprotect interest zetu na kuangalia gains KWA UPANA zaidi. We shouldnt involve on things that will make us loose .Land issues is very crucial, must be reserved. Employment is Vital must be protected. I dont like to see that ones lost a chance of employemnt on his/her own land ! whereas will they go? Kny ? not at all.

Renegade, umeongea vizuri mno. It seems you are a true descendant of our lovely mom Tz.

We need to protect our people, our land mass, our employment, water body, generally our everything.

Mfano kazi au ajira, inabidi tuwe na sera ya kwamba kila inavyotokea ajira mtu wa kwanza kufikiriwa awe mtanzania, wa pili awe mtu wa eac, halafu baadaye africa hatimaye nje ya africa. hiyo nimeona inatumiwa na wanachama wa EU. mfano germany, sweden, netherland, uk, hawakubali mtu wao akose ajira eti kwa sababu ya EU. nadhani nasi tuweke maslahi ya watu wetu kwanza halafu eac baadaye, maana hii ni ndoa ya watu ambao wamelazimishwa na wazazi wao kuishi pamoja.

Ab-tchaz, naomba huyu smatta na mwenzake kayundi2 na wengine waelewe, watz ni watu ambao wanafikiri kwa undani kila jambo kabla ya kuvamia, na ndiyo maana we are the stable nation in the bloc and entire africa. when you talk about tz you real mean it. because every dweller of the territory is a vigilant player of any affair within the border.

for those who has not been in kny could think that kny is a territory. kny is more or less resemble with somalia, there is social, economic and political unrest which no one knows its aftermath. kule hamna sheria, no one is thinking about the nation, kila mtu anafikiria kivyake tu.
The other day I went in one (I guess) of the poorest neighbouhood quality in the world, find a sort of ''unstatutory institution'' collecting levies from matatu operating in the area. when i asked one guy of matatu, why are doing that, he warned me shiiii... dont mention inaweza kukuua mazee.
and i kept digging deep, why dont you report to the government authority concerned, akaniambia these are UNTOUCHABLE, HATA SERIKALI INAOGOPA MAZEE.
from that day, i concluded that, ile sio nchi, bali ni mkusanyiko wa watu ambao wanawindana ili kila mmoja apate kitu kidogo, NDIYO MAANA INAITWA NCHI YA KITU KIDOGO.
 
I dont think we hate Kenyans as people, what we dont like ni tabia yao (Kikuyus are not human beings...they are animal), i have been working here in kenya for the past two years..na nilichoona zaidi ni roho mbaya, too much skimming, umbea , kujipendekeza etc
 
Yes, it's a class struggle: Ni kwamba Daily nation ni mali ya Aga Khan Foundation, kama zilivyo AiR Uganda na Serena chain of hotels. Unilever, ilianzia huko Dublin miaka ya 1926 na leo ni a true multinational ikiwepo mabara yote isipokuwa antarctica, kwa maana ndiyo supplier wakubwa wa consumer products kwenye soko hili. EABL ni mali ya Diageo. KQ wakenya wana nadhani 25% stake, na KCB ni mali ya wahindi. Kwa upande mmoja Nakumatt na Uchumi mtaji wake uliporwa kwenye hela za wananchi maskini waKenya ambao pia walishanyan'gagwa ardhi yao. Hivyo hivyo brookside ya Uhuru Kenyatta mtaji wake ndio ungejenga vyuo vikuu vya umma na mahospitali ya wakenya maskini. Hapa kwetu, Bank M ya fisadi Mkapa, na mali kibao za vibaraka wake zingefanya vitu vikubwa kwa ajili ya mtanzania maskini ambaye ameporwa mali zake na viongozi wahaini, wasaliti na wauaji. Ndio maana wanaweza kutembelea magari ya milion 800 na hakuna anayweza kusema. Hawa watu walikuwa wa kuwa cremated au kufungwa maisha na kunyag'anywa kila kitu, lakini nani atafanya hivyo? State machinery wameinunua, ni miungu watu, wanafiki. Wangeweza kula na kushiba na wakafanya vizuri, lakini wakaamua kuteketeza kila kitu na kuharibia wananchi, kazi tunayo! Maana hakuna wa kuwauliza! Wote tuko kwenye shit moja, isipokuwa sisi haya ni mapya kwetu, sasa tuwe makini angalau huu unyama usilete maafa. Ninachosema, nadhani wakenya wao walishazoea maana hawajitambui, sisi pia yametokea ila tukizidi kuyaruhusu damage itakuwa beyond repair, if we shout we can salvage something esp land and employment. Kwa hiyo mwananchi maskini, iwe Mkenya au mtanzania hana lake, ingawa simaanishi kuwa tuwakaribishe wageni bila kuangalia interest zetu kwanza, if anything Wakenya wawadai viongozi wao waliowapora..maybe we can borrow a leaf, but we should be doing the same as well.

Ona Moi anamiliki dola bilioni tatu, kiongozi wa umma, huyu ni mwizi kama alivyo Mkapa na genge lake, kwa hiyo Mkenya anaposema wako ahead, ni kutojitambua, if we r not careful tutanyang'anywa kila kitu na sisi. CCM mpaka ipasuke yenyewe, kuiondoa kama yenyewe kazi ni ngumu, bado wanatumia mgongo wa Nyerere, na vijijini watu hawajui kuwa CCM ya Mwalimu siyo ya sasa, after all, hawawezi ku-analyze. Ndiyo maana CCM wanapeta kwa kwenda mbele. Suluhisho, we need to create awareness kwa mabadiliko haya ili watanzania wayajue, tusichoke.[/QUOTE]

Mkuu Kanyabwoya, heshima mbele, you have raised a very interesting observation. I take it as a warning example. Viongozi wa Kenya, kama akina uhuru, moi, kamotho na wengine, wamewatafuna wananchi (kama akina smatta, nomasana, kayundi2 na wengine) na kuwafanya masikini wa kutupwa, hivi kwamba hawajui waende wapi. wamechanganyikiwa mpaka vikundi kama mongiki ndiyo vinaonekana ndiyo nafuu na mkombozi wa wakenya masikini.

tunataka ile hali isiwe imported kwetu plus other trashes, sasa please, naomba initiate onother thread ili tujadili jinsi ya kupambana na expected trashes such as crime, corruption, money laundering, children abuse in tourism (like the case of mombasa) drugs trafficing etc to get into our territory ''under the umbrella'' of eac. kwa sababu kufungua mipaka ya nchi ni sawa na kufungua madirisha ya nyumba ili upate hewa safi, haimaanishi hewa safi tu ndiyo itakayo ingia ndani ila hata inzi, mbu, vumbi, vyaweza ingia, vivyo hivyo katika shirikisho si mitaji, wafanyakazi na wafanya biashara wazuri tu ndiyo watakao ingia kama smatta anavyoamini kwa upeo wake mdogo wa kufikiri. tutegemee na tujiandae kuona vitu ambavyo hatukuwahi hata kufikiria ambavyo ni vibaya.

MUHIMU: tafadhali hiyo thread ipeleke kwenye mambo ya ndani (siasa za ndani). Pia mods Abt-tchaz tafadhali, usimruhusu smatta na wenzake tresspassing our discussion, i know for them pondering on the socio-economic matter is a vocabulary, they will distort our up building and couraging discussion.

Adhuhuri njema.
 
hahahahahahahahahahaha,
kwakwakwakwakwkakwkakakakakakakakakak,tehtehtehtehtehthehthththtth....

I don't know what Kenyans think about Tanzanians!!! It's horrible for someone who's requesting for unity insteady of talking about the fate of Unity to all countries,he just talk about how he'll benefit from that Unity alone and not how all of us.
Kenyans must know that establishment of EAC must encourage mutual relationship rather than parasitism. They thought that we Tanzanians are foolish and boggle people because of our calmness and politeness.
Kenyans must cast out that shrewdness, parisitic, selfish and hypocrytical spirit. There weakess of lack of Unity among themselves shouldn't allowed to spread to engulf us.Tanzanians need committed, selfishlessness and loyal people. Our politeness and calmness shouldn't be transformed to take us as ignorants.So what we're demanding from the East African People is loyality and mutual relationship. All East African Nations are pour therefore we don't have to point out the degree of our indivual poverty but to figure out sources and formulate effective weapons to eliminate it.
We know about GDP of Kenya as well as their per capita. There's no such big difference and if you will consider other intrinsic factors absolutely you'll come to realize that Kenyans are pourest country among East African.
They're not aware of how much they have cheated and eventually benefit from Mt Kilimanjaro which is in our soil. They don't know how Nairobi was built; If they would know that diamond and gold from Tanzania were crucial for the development and sustainability of Nairobi city!!! mmmh let me stop here..
Anyway let us not condemn and bluff about past;
THE MOST IMPORTANT THINGS ARE: KENYANS MUST BE LOYAL AND AVOID SHREWDNESS AND THE ESTABLISHMENT OF EAC MUST EXACTLY BE OF MUTUAL RATHER PARASITIC RELATIONSHIP
MUNGU IBARIKI AFRICA,
MUNGU IBARIKI EAST AFRICA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
BE READY FOR EVERYTHING IN YOUR LOCAL MARKET
MADE%20IN%20KENYA.aspx
 
MUHIMU: tafadhali hiyo thread ipeleke kwenye mambo ya ndani (siasa za ndani). Pia mods Abt-tchaz tafadhali, usimruhusu smatta na wenzake tresspassing our discussion, i know for them pondering on the socio-economic matter is a vocabulary, they will distort our up building and couraging discussion.

Adhuhuri njema.

WTF..... This is B.S, do you think you can control where I post my crap? Are you serious on your statement, I will write what I feel like where I feel like, the best the mod can do is delete the post or ban me, simple. Peleka hiyo misplaced patriotism yako mbali, dont bring that crap on the internets, do you think you are the only person who loves his country and patriotic enuff to fight for it? Segregation hautaletea watu kwa internet especially on forums kama hizi za kujadili mambo ya jamii, kwani wewe ni mgeni kwa hizi mambo??I know if we were to pay to post ish hapa ungekuwa wa kwanza kutoka. W.T.F
 
I dont think we hate Kenyans as people, what we dont like ni tabia yao (Kikuyus are not human beings...they are animal), i have been working here in kenya for the past two years..na nilichoona zaidi ni roho mbaya, too much skimming, umbea , kujipendekeza etc


Yaani matusi yashaanza tena, wwengi wanasema wakenya wanachuki n.k. Lakini ukisoma thread zingine unashindwa nani ni nani. Huu si unafiki jamani.
Tjirudi sisi wenyewe, tuwe wakweli.
 
WTF..... This is B.S, do you think you can control where I post my crap? Are you serious on your statement, I will write what I feel like where I feel like, the best the mod can do is delete the post or ban me, simple. Peleka hiyo misplaced patriotism yako mbali, dont bring that crap on the internets, do you think you are the only person who loves his country and patriotic enuff to fight for it? Segregation hautaletea watu kwa internet especially on forums kama hizi za kujadili mambo ya jamii, kwani wewe ni mgeni kwa hizi mambo??I know if we were to pay to post ish hapa ungekuwa wa kwanza kutoka. W.T.F
watu kama nyinyi kina SMATA mtakula makofi sana mkija huku T.Z.we njoo na kauli zako hizo mbofumbofu ndio utajua watanzania ni lazy au si lazy,ni waswahili au si waswahili,na ujanja wao utaujua,we kwa akili yako mpaka leo unadhani wabongo bado wanalala usingizi tuu,watu washaamka sikunyingi na mpaka mkija mtakuta hata jioni ishaingia,kwa mimi binafsi mkenya yeyote hanipi shida kwani nimewaacha mbaaali sana,na mods angalieni watu kama hawa wanakuja kutuvunjia amani kwenye forum zetu,sijaona mtanzania akitoa kashfa kama hizi kwenye forum za wakenya.
 
WTF..... This is B.S, do you think you can control where I post my crap? Are you serious on your statement, I will write what I feel like where I feel like, the best the mod can do is delete the post or ban me, simple. Peleka hiyo misplaced patriotism yako mbali, dont bring that crap on the internets, do you think you are the only person who loves his country and patriotic enuff to fight for it? Segregation hautaletea watu kwa internet especially on forums kama hizi za kujadili mambo ya jamii, kwani wewe ni mgeni kwa hizi mambo??I know if we were to pay to post ish hapa ungekuwa wa kwanza kutoka. W.T.F


hahahahaaaaaaaaaaa...... kwa kwa kwi kwikwiiiiiiiiiii.......
let me tell you dogo smatta.

our internal affair is internal, you better, shut up. we cant let you utter even a single word. refer the privity of contract/matter... dont pop noise on others business. you need to learn to respect others. now look people in the forum consider you as an intrude in the jukwaa.

Hahaaa.... you know what, your careless utterance is the cost for your people. kenyans are now considered adversaries. even the signatures on papers put by viongozi are taken as betray.

But smatta, ona sasa few knyns who are in ar, dsm are not happy. they are viewed as an ossu. becoz of your individualism and half/narrow minded.
 
Jamani msiwaogope Wakenya hakuna kitu hao. Tai shingoni, sigala mkononi lakini hawana pesa mfukoni!!!!!Wtz tuchangamkie East Africa Federation, nendeni Botswana ulizeni Watz na Wakenya nani vichwa? Ardhi tunayo kuliko Kenya, Siasa Safi tunayo Kuliko Kenya,Watu tunao kuliko Kenya, Bora viongozi tunao kama Kenya. Kwanini tuwaogope??? Mie MTZ nina Ofisi Tomboya steet Kenya na ninawapelekesha kikweli kweli.
 
Smatta na Lyakundi,
Akili ndogo..wepesi ku-burst hawana lolote..argument zao zinaonyesha you only need to ignore them..they are the lossers...

Twendeni tufanye biashara kenya..mimi nimeshafanya sana huko hawana lolote...ila for sure ningeomba leaders wa nchi zote wakubaliane kwenye security issue kenya is very delagate (somali type)...wananchi (akili ndogo) wanaweza kuamrishiwa na wanasiasa wajinga wakamdhuru mtu mtu bila sababu..yaani uwezo mdogo wa kuamua jambo jema ...

Tukishakamata market utaona watakuwa wa kwanza kulalamika trust me..wala si muda mrefu baada ya federatio watakuwa wakenya watakaolalamika wa kwanza among all people take my word...
 
Jamani msiwaogope Wakenya hakuna kitu hao. Tai shingoni, sigala mkononi lakini hawana pesa mfukoni!!!!!Wtz tuchangamkie East Africa Federation, nendeni Botswana ulizeni Watz na Wakenya nani vichwa? Ardhi tunayo kuliko Kenya, Siasa Safi tunayo Kuliko Kenya,Watu tunao kuliko Kenya, Bora viongozi tunao kama Kenya. Kwanini tuwaogope??? Mie MTZ nina Ofisi Tomboya steet Kenya na ninawapelekesha kikweli kweli.

Chukua tano!!

Unajua kuna tofauti moja kubwa kati ya Smatta na Kanyabwoya kwa mfano!! Smatta is immature na anarepresent kikuyu, you can tell from his style of writing na kaujinga kake ka kudhani wanajua, this is typical kikuyu... tofauti na kanyabwoya ukiondoa jina huwezi kujua kabila lake... hii ndio strength yetu watanzania, we are composed to a great extent compared to wakikuyu

nasisistiza wakikuyu kwa sababu kenya kuna makabila kama kalenjin, wakamba, wajaluo, wamasai ambao kwa kweli ni watu poa na hata ukifanya nao kazi sio back-biters- hii back-bitting ni synomymus na kikuyu!!!

I work with Kenyans, yes they are fast, but wait, fast ya kwenda wapi?? majungu, kimbelembele but not fast "upstairs"!!!

Let the federation come and our house will sag properly and everyone atakuwa kwenye nafasi yake
 
nasisistiza wakikuyu kwa sababu kenya kuna makabila kama kalenjin, wakamba, wajaluo, wamasai ambao kwa kweli ni watu poa na hata ukifanya nao kazi sio back-biters- hii back-bitting ni synomymus na kikuyu!!!

...afwazali umesema weye maana umegusia swala nyeti kweli.
 
...afwazali umesema weye maana umegusia swala nyeti kweli.

someone had to say it!!! Wakikuyu wanaamini wao tu ndio wakenya na ndio smart nk. tunao hapa dar wamejaa kila kona lakini chunguza vizuri lip service yao 100% na actual products ni zero yaani hakuna ni kuzunguka tuuu na kutafuta vidada wavioe wapate priviledges za bongo!!!

Wameuvaa ule mkenge wanatumia wazungu humu makazi ati "you are different from others, where did you study, oh your english is good, you are sharp" hizi zote ni issue ya carrots tu kwetu halafu some "smatta" guys wanaona yes we are smart!!

eiiishhsh!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom