Recent content by Sasa kazi tu

  1. S

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    Anae chafua ndio ndie annae paswa kufuta, wakifuta wengine itakua uwonezi
  2. S

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    Na usisahau kua mamlaka kamili alikua hana, kweli alikua mbunge ila pia waziri. Hapo angejifanya msema kweli azma ya urais angeisikia kwenye radio. Ukisha pigia mizinga 21 ndio unaweza kushuhulikia mautumbo kwa uhakika zaidi...... Labda nikusaidie kaka ukijibu tena usisahau jina la lugumi!!!!
  3. S

    Rais Magufuli na Balozi wa Ujerumani, wapanga kujenga kiwanda kikubwa cha mbolea Lindi

    Sasa ni 4G tu....tunavunja na sight mirror, mbele kwa mbela
  4. S

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    MTU ASIE JUA ATAFKIRI MMEPATA WAZIMU KUMBE MNATANIANA TU... UTUMBO WA MIAKA 30 UTATULIWE MIEZI 7. HAHAHAHA
  5. S

    Here is Russia's Response to NATO’s activities near Its borders

    Urusi ana kambi ya jeshi syria na ndio kambi pekee nje ya nchi ipo jimbo la LATAKIA.. Syria ikianguka mikononi mwa waasi wanao ungwa mkono na marekani rais atakua chini ya marekani na kambi wa urusi itaambiwa ifunge kwa mujibu wa sheria. Itakua pengo kubwa sana kwa urusi kwani kambi ya latakia...
  6. S

    Here is Russia's Response to NATO’s activities near Its borders

    Kaka maneno yako umenukuu vizuri kutoka kwenye vyanzo vya wamagharibi "CNN NA BBC" ili uweze kulielewa hili swala kwa upana naomba angalia pia "RT NEWS".. Mimi nimesomea international relations ninaelewa nacho ongelea!!!
  7. S

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    Anazuia ulaji tulio uzoea
  8. S

    Here is Russia's Response to NATO’s activities near Its borders

    UTEKAJI WA CRIMEA NA KUMWEKA BASHAR AL ASAD MADARAKANI NI MIFANO HAI KUA URUSI NI MZIKI MNENE... PIA URUSI ANA MILIKI NUCLEAR WAR HEADS 1940 NA MAREKANI 1720,NENDENI TOVUTI YA MASUALA YA KIVITA IITWAYO "FIRE POWER" MTAKUTA TAKWIMU NYINGI ZA KIJESHI.
  9. S

    Wanamgambo wa kiislam wadai wapo Tanzania

    Mkuu hamna dini pale. Ni taasisi ya wakubwa, dunia ya leo huvamiwi kijeshi ila una tumiwa kikundi kinacho jiita kua kina pigania dini kuja kukudhoofisha. Jiulize silaha za kisasa na magari ya vita yanatoka wapi? Miskiti wana vunja dini ipi ina piganiwa?
  10. S

    One Shot, One Kill: Russia Creates World’s 1st Para-Drop Air Defense System

    NUCLEAR WARHEADS 2016. RUSSIAN NUCLEAR WAR HEADS-1970 UNITED STATES NUCLEAR WAR HEADS-1740
  11. S

    Wanamgambo wa kiislam wadai wapo Tanzania

    Hawawezi kuja tanzania maana mabosi wao hawana ugomvi na tz..
  12. S

    Manchester United Tunahitaji ushindi wa Goli 19-0 kesho

    Una weza kushanga tukaongoza 20-0 alafu tukatangaziwa kuna bomu uwanjani mechi ikavunjwa.. Gundu likikuandama acha
  13. S

    Dunia sio duara, wala haina obiti ya kuzungukia

    Katika jambo nilio shangaa tokea mwaka uanze hili ni la pili... La kwanza leicester kua bingwa la pili la huyu jamaa... Kwaiyo jua ndio linazama ndo kuna kua giza???
Back
Top Bottom