Real madrid anapocheza na barca mchezo unaompa mafanikio ni direct attack na mipira mirefu. Sio madrid tuu hata timu yoyote inapopata ushindi dhid ya barca hucheza mchezo wa aina hiyo. Hapa madrid ilipofika ni mbegu aliyoipanda papa perez. Madrid ilihitaji kusajili wachezaji wenye class za juu...
Nakumbusha tu. Luis suarez usiku wa kuamkia leo ameipiku rekodi ya dani alves kwa kutoa assists nyingi na ya 27 kwa lionel messi. Kabla ya hapo rekodi hiyo ilishikiliwa na dani alves assist 26.
Je kuuzwa kwa dani alves ilikuwa ni miongoni mwa kosa kubwa lililowai fanywa na hawa wacatalunya
Viwango vimeshuka. Vigogo barca na los blancos naona wapo usingizini. Barca sijui kama wamestuka kuwa xavi na iniesta hawapo. Wanahaha kuliweka benchi lao la ufundi mfano mzuri ni tetesi za kumleta mkurugenzi wa ufundi kutoka roma mr. Monchi ambae alifanya kazi hiyo akiwa sevilla. Scouting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.