Ajira mpya ualimu sekondari.Huko kwenu vipi?

Ajira mpya ualimu sekondari.Huko kwenu vipi?

Sangija mtata

Member
Joined
Sep 20, 2018
Posts
36
Reaction score
25
Wakuu naomba kuuliza kwa waalimu wa ajira mpya. Kuhusiana posho ya kujikimu na salary tangu kuripoti kituo cha kazi. Huko kwenu vipi? Vipi kunadalili zozote au turudi maskani hadi miezi mitatu ipite.Huku kwetu bila bila
 
mi hata sjui kwa kweli yan sjui kabisaaaa
 
hamna kitu jamn polen wadau wapen mbinu wawezi kufatilia pesa zao hali n ngumu polen ndugu mtafika wal msiofu ila dodoma wilaya ya CHEMBA NI TATIZO HUKO WALIMU WANAPAT SHIDA MNOO KAMA WA CHEMBA POLE SANAA
 
hamna kitu jamn polen wadau wapen mbinu wawezi kufatilia pesa zao hali n ngumu polen ndugu mtafika wal msiofu ila dodoma wilaya ya CHEMBA NI TATIZO HUKO WALIMU WANAPAT SHIDA MNOO KAMA WA CHEMBA POLE SANAA
Hizi wilaya mpya naona ndo vilio tupu ukilinganisha na nyingine na zile wilaya zilizo na vyanzo vizuri vya mapato
 
Kwa uelewa wangu mdogo baada ya kusain mikataba na kupewa barua na kupeleka taarifa zako muhimu ni bora ukatulie chimbo lako kama miez hivi ukisubiri mavuno. Maana huku ni jangwa tuuu
 
aiseh, nakabiliwa na tatizo kama lako na hata sielewi nifanyeje.. niko dilemma hapa.
 
Andika barua omba ruhusa. Baadhi ya maafisa elimu wapo honest black and white, hawajawapeleka waalimu vituon kwao kwani hawana hela. Kikubwa kizuri wamewaruhusu warud maskani kwao
hapo sawa, kwenye hiyo barua unaandika ruhusa ya muda gani, coz nasikia ruhusa mwisho siku 14 kwa mwaka.
 
Uwalimu niliuchukiaga kwa sababu nilikua natandikwa sana mpaka kesho nawaonaga walimu wa shule za sekondari ni mafala hawana lolote
 
Back
Top Bottom