Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Bwahahahaahahahahhahahahahhahahahahahaahhahahahahahahhahahahahahhahahahahahhahahahahahahhahahahahhahahahahahahhahahahahahhaahhahahahahhahahahahahhahahahahhahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhhahahahahhahahahahahhahahahahhahahahahahahahhahaha HILI LITIMU LISHAKUFAGA....WENZENU SAIZI WAMEKIMBILIA JUVE
 
Nilijua haya yanakuja. Solari si kocha mzuri kabisa, na niliwashangaa Real kumpa mkataba mkubwa. Alau wangelimuacha amalize msimu. Timu inakua chini sana anashindwa kuchezea mpira kabisa.
Na pi bado nashindwa kufahama why Bal anaendelea kuwa anachezeshwa.
 
Naziona ila jamaa hana la maajabu ndo kwanzaa haonekani hata national team. Hivi kwanza ni raia wa wapi huyo yaan anazidiwa hata na martial kuitwa kikosini duh

Bila ya shaka yoyote umejidhihirisha upeo wako wa kandanda. Hufahamu matatizo yalkuepo baina ya Benzema na timu ya Taifa au?
 
Matatizo yepi hayo ya benzema kutaka kuitawala timu that too France duh pole yake
Bila ya shaka yoyote umejidhihirisha upeo wako wa kandanda. Hufahamu matatizo yalkuepo baina ya Benzema na timu ya Taifa au?
 
Nilijua haya yanakuja. Solari si kocha mzuri kabisa, na niliwashangaa Real kumpa mkataba mkubwa. Alau wangelimuacha amalize msimu. Timu inakua chini sana anashindwa kuchezea mpira kabisa.
Na pi bado nashindwa kufahama why Bal anaendelea kuwa anachezeshwa.


It's stupid to blame the coach. This wasn't a tactical defeat. Our players didn't show half of what was supposed to do
 
Madrid kufungwa Siku hizi sio habari tena ikifungwa inafungwa kweli kweli, ile jeuri yangu ya kutamba na uzi mweupe imeniishia
 
Back
Top Bottom