Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hizo 50 goals mbona hatoni dalili zake huko Juventus?
Wakati real anakula kichapo kwa spurs mwaka jana mzee wa 50 goals hakuwepo?
Wakati Real inastraggle kwenye ligi mpaka ikifikia nafasi ya 7 mwaka jana mzee wa 50 goals alikua hayupo?
tuwe wakweli wote tuna ipenda RMA lkn replacement ya CR7 tuli ichukulia poa na ina tu gharimu mazoea yametuponza, ni ngumu kupambana na team kma Beyern kwa washambuliaji kma kina Mariano na Benzema inshort msimu huu tuna kazi sana
 
tuwe wakweli wote tuna ipenda RMA lkn replacement ya CR7 tuli ichukulia poa na ina tu gharimu mazoea yametuponza, ni ngumu kupambana na team kma Beyern kwa washambuliaji kma kina Mariano na Benzema inshort msimu huu tuna kazi sana


Mawazo huru yanaruhusiwa.
 
Madrid ya Msimu huu imepunguza hata speed ya huu uzi watu wana chunga kauli maana lolote linaaweza kutokea hata game nyepesi


Mtazamo wako tu, hii thread ilikuwa hapa wakati Real Madrid wanakwenda Trophyless.
 
tuwe wakweli wote tuna ipenda RMA lkn replacement ya CR7 tuli ichukulia poa na ina tu gharimu mazoea yametuponza, ni ngumu kupambana na team kma Beyern kwa washambuliaji kma kina Mariano na Benzema inshort msimu huu tuna kazi sana

Labda tukukumbushe, wakati Real wanawafunga Buyern na Liverpool msimu uliopita Ndie huyohuo Benzema aliwafunga na huyo CR7 wako alikua akizunguka tu uwanjani.
 
Labda tukukumbushe, wakati Real wanawafunga Buyern na Liverpool msimu uliopita Ndie huyohuo Benzema aliwafunga na huyo CR7 wako alikua akizunguka tu uwanjani.
Kuna game zingine zilikuwa zinakuwa ngumu lakini Ronaldo alikuwa anasimama anatushindia kwa uwezo wake mwenyewe... Nani kwenye kikosi hiki kilichobaki ambae ataweza kusimama kwa ajili ya timu... Akaenda Turin akapiga goli 2,akaenda Munich akapiga goli 2,nani ambae anaweza akasimama akafunga hat trick kutuvusha tukiwa tumeshapigwa 2-0 na wolfsburg ujerumani... Nani ambae tukiwa tuko hatarini pale bernabeu ataenda atachukua mpira... Atatuliza akili yake na kwenda kufunga penati ya dkk ya 98 dhidi ya Juve... Tutajitetea kwamba tunacheza kitimu lakini kuna moments anahitajika alpha male... A leader ambae anaweza akasimama na kuibeba timu peke ake... Benzema anapenda kuucheza mpira kuliko kufunga, sio mtu wa kumuamini... Bale afadhali lakini majeruhi yake yanatia mashaka... Asensio kama mmegundua anacheza vizuri game ikiwa rahisi, lakini mambo yakiwa magumu huwa anainama chini na kupotea... Tuna kazi kubwa sana ya kufanikiwa bila Ronaldo... Sio kwamba haiwezekani... Lakini ni kazi kubwa sana
 
Uwezo wa hii squad mi sina shaka nao, ukitaka kujua hiki kikosi ni FIRE angalia kila timu tunayokutana nayo itapaki bus dakika 90. Anyway, huu ustaarabu umefika tamati, angalia goli zinaanza kumiminika usiku huu
 
Madrid ya Msimu huu imepunguza hata speed ya huu uzi watu wana chunga kauli maana lolote linaaweza kutokea hata game nyepesi

Habari mkuu, mmoja wapo mie japo nakuwa bize sana lakini huwa najitahidi kuusoma huu uzi mara kadhaa ila kwa mwenendo wa timu yetu hivi sasa niseme tu SIWEZI KUTOA KAULI...Hivyo kwasasa wacha niweke reserve ya kauli.....Zisije tufanya tuwe maadui x2(In LavaLava Voice). Ila niseme tuu katika mgawanyo wa position uwanjani timu ipo vizuri kuanzia nyuma(back line) japo sio sana, kati tupo njema mno isipokuwa bado kule mbele sijamuona wakututembeza kifua mbele kwenye nyakati ngumu/Harsh moments kwa maana sahivi nyakati ngumu sio tu tufungwe na timu kama bayern ila hivi sasa ukishafungwa hata na timu ndogo tu ligi za ulaya anahitajika mtu kweli ili ushinde kama sio kusawazisha na niwe mkweli japo tumechukua sana UEFA lakini safari hii tupambane na hali yetu kwa yanayokuja mbeleni kwa kuwa yanafurahisha...''NILISHAWAHI KUSEMA KUWA TATIZO SIO RONALDO KUONDOKA REAL(UKIZINGATIA UWEZO WAKE WA KU DELIVER ULISHAANZA KUSHUKA NA CONSISTENCY YAKE ILIPUNGUA KIASI FULANI DUE TO AGE) BALI SHIDA NI KUTOSAJILI MTU/WATU SAHIHI WAKUVAA VIATU VYAKE" NA NIRUDIE TENA KUWA BADO SINA IMANI NA ASENSIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU HASA PALE TUNAPOTANGULIWA KUFUNGWA MFANO MECHI YETU YA REAL VS BILBAO ASENSIO AMERUKARUKA TU.

ACHANA NA HUYU MTU ANAITWA RONALDO JAPO KUWA ALISHAANZA KUPOTEZA CONSISTENCY YAKE DUE TO AGE...KITU AMBACHO NI KWAIDA MAANA ATA TEMBO NI MFALME WA PORINI LAKINI UMRI WAKE UNAVYOZIDI KWENDA HUNG'OKA PEMBE ZAKE ZOTE MARA 8 NA KISHA ANAKUFA, NAPOSEMA MAZINGIRA MAGUMU NI KAMA HAYA....

SASA KAMA HUYO SEVILLA ALIYETUPIGA 3-O JUZI. TOKEA AJE LALIGA BWANA RONALDO NDIYE TIMU ANAYOONGOZA KUIFUNGA MAGOLI MENGI KULIKO TIMU YOYOTE ILE SPAIN NA KAIFUNGA MARA NYINGI KULIKO MESSI, TAKWIMU HAZIDANGANYI...Cristiano Ronaldo: unstoppable against Sevilla | Real Madrid CF
Cristiano Ronaldo has scored more goals against Sevilla (25) than he has against any other team in his career.
Sevilla are Cristiano's favourite victims: 27 goals in 18 games
Ronaldo continues his stunning record against Sevilla
Mourinho puts Cristiano Ronaldo on a par with Pelé




MONSTER....

480.jpg
 
Kuna game zingine zilikuwa zinakuwa ngumu lakini Ronaldo alikuwa anasimama anatushindia kwa uwezo wake mwenyewe... Nani kwenye kikosi hiki kilichobaki ambae ataweza kusimama kwa ajili ya timu... Akaenda Turin akapiga goli 2,akaenda Munich akapiga goli 2,nani ambae anaweza akasimama akafunga hat trick kutuvusha tukiwa tumeshapigwa 2-0 na wolfsburg ujerumani... Nani ambae tukiwa tuko hatarini pale bernabeu ataenda atachukua mpira... Atatuliza akili yake na kwenda kufunga penati ya dkk ya 98 dhidi ya Juve... Tutajitetea kwamba tunacheza kitimu lakini kuna moments anahitajika alpha male... A leader ambae anaweza akasimama na kuibeba timu peke ake... Benzema anapenda kuucheza mpira kuliko kufunga, sio mtu wa kumuamini... Bale afadhali lakini majeruhi yake yanatia mashaka... Asensio kama mmegundua anacheza vizuri game ikiwa rahisi, lakini mambo yakiwa magumu huwa anainama chini na kupotea... Tuna kazi kubwa sana ya kufanikiwa bila Ronaldo... Sio kwamba haiwezekani... Lakini ni kazi kubwa sana

Mkuu unanitia shaka kidogo kuwa weye ni mshabiki wa real. hivi kufunga Penalt ya dakika 98 kama unavosema imekua ndio ishu kwa timu kama Real? unafahamu kuna wachezaji wangapi ndani Real Ambao ni World Cup winners? Real imejaa walled class players mkuu. Ramos, Kroos, Modric, Marcelo, Bale hamna ataetetemeka kupiga Penalt eti kwakua dakika ya 98.

Na unapozungumza game zinakua ngumu halafu yeye anasimama anasimama wapi? kwa kuvizia chini ya box mzpira uzagae afunge ndio ugenius? Modric, Kroos na Marcelo ndio wamekua best player for the last 5 years ndani ya Real Madrid. Huyo Ronaldo na bale wamukua wakivizia tu.
 
Habari mkuu, mmoja wapo mie japo nakuwa bize sana lakini huwa najitahidi kuusoma huu uzi mara kadhaa ila kwa mwenendo wa timu yetu hivi sasa niseme tu SIWEZI KUTOA KAULI...Hivyo kwasasa wacha niweke reserve ya kauli.....Zisije tufanya tuwe maadui x2(In LavaLava Voice). Ila niseme tuu katika mgawanyo wa position uwanjani timu ipo vizuri kuanzia nyuma(back line) japo sio sana, kati tupo njema mno isipokuwa bado kule mbele sijamuona wakututembeza kifua mbele kwenye nyakati ngumu/Harsh moments kwa maana sahivi nyakati ngumu sio tu tufungwe na timu kama bayern ila hivi sasa ukishafungwa hata na timu ndogo tu ligi za ulaya anahitajika mtu kweli ili ushinde kama sio kusawazisha na niwe mkweli japo tumechukua sana UEFA lakini safari hii tupambane na hali yetu kwa yanayokuja mbeleni kwa kuwa yanafurahisha...''NILISHAWAHI KUSEMA KUWA TATIZO SIO RONALDO KUONDOKA REAL(UKIZINGATIA UWEZO WAKE WA KU DELIVER ULISHAANZA KUSHUKA NA CONSISTENCY YAKE ILIPUNGUA KIASI FULANI DUE TO AGE) BALI SHIDA NI KUTOSAJILI MTU/WATU SAHIHI WAKUVAA VIATU VYAKE" NA NIRUDIE TENA KUWA BADO SINA IMANI NA ASENSIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU HASA PALE TUNAPOTANGULIWA KUFUNGWA MFANO MECHI YETU YA REAL VS BILBAO ASENSIO AMERUKARUKA TU.

ACHANA NA HUYU MTU ANAITWA RONALDO JAPO KUWA ALISHAANZA KUPOTEZA CONSISTENCY YAKE DUE TO AGE...KITU AMBACHO NI KWAIDA MAANA ATA TEMBO NI MFALME WA PORINI LAKINI UMRI WAKE UNAVYOZIDI KWENDA HUNG'OKA PEMBE ZAKE ZOTE MARA 8 NA KISHA ANAKUFA, NAPOSEMA MAZINGIRA MAGUMU NI KAMA HAYA....



Asensio ndio right player to lead madrid attack,Sijui tatizo lako ni nini. Uvumilivu ni muhimu hamana alieanza tu akafanya mambo makubwa. Hata huyo Ranaldo hakuanza na speed aliomalizia.
 
REAL MADRID STARTING XI:

• Courteous; odriozola, Varane, Ramos, nacho; Modric, casemiro, kroos, ceballos; Bale & Benzema.

Midfield
1f525.png
1f525.png
1f525.png
 
Back
Top Bottom