Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,135
Asensio ndio right player to lead madrid attack,Sijui tatizo lako ni nini. Uvumilivu ni muhimu hamana alieanza tu akafanya mambo makubwa. Hata huyo Ranaldo hakuanza na speed aliomalizia.
Nilisema kuwa kwasasa wacha niweke reserve ya kauli ila kwa kilichotokea leo kwenye clasico wacha nitoe NENO...Kwa ufupi tulioona mwenendo wa timu tulikuwa tunakuchora tuu kwa namna ulivyokuwa unatumia nguvu kubwa sana kuupindisha ukweli na ndio maana sikujaribu kureply comment yako ata moja uliyoniquote, SASA NAMIMI LEO NAKUQUOTE...Ebu njoo hapa utetee upuuzi wako hadi tukuelewe sasa.

