wagonjwa na ndugu wa wagonjwa wengi huwa hawawezi kuwasiliana vizuri na wahudumu wa afya - mkienda tena hospitali muongee vizuri kwa kirefu na daktari muangalie uwezekanowa vipi zaidi. na dawa anazotumia kwa sasa ni dawa gani?
nakubaliana na mdau hapo juu kuhusu matatizo ya moyo, figo na kadhalika.
hii "story" ni fake jamaa wanataka kuuza coconut oil tu!
na katika pdf ambayo iko attached hakuna sehemu inayoonyesha studies zimefanyika ku-support statement kwamba "coconut oil can beneficially reduce the viral load of HIV patients".
jamaa wanajua tu kuwa watu ni wavivu hawatasoma! lol!
ili mwanamke apate mimba surti ziungane mbegu za kiume na yai la mwanamke; mwanamke akiwa kwenye siku zake yai linakuwa limekufa hivyo hawezi kupata mimba. nguvu za kiume na mbegu za kiume zaweza kupungua au kuisha hata kama mtu hafanyi mapenzi mara kwa mara kutokana na magonjwa mbalimbali...
Yes, mie nitafanya hivyo na sitakuwa na kovu kwa sababu ni uamuzi wake (sahihi according to his/her beliefs) na ndivyo inavyotakiwa. suppose unamlazimisha kumtia damu na akafa vilevile (maana yake anakufa kabla ya kupata fursa ya kutubu - kama anavyosuggest Uda) inakuwa umem-lostisha sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.