hapo Mancini lazima atakuwa anahara! Manu bana siipendi lakini...!United 1 QPR O
amefanyaje mwamuzi?Waamuzi wanaharibu ligi. No wonder timu za England fair poorly in Europe, including their national team.
Hiyo sasa noma...kwa kweli sasa wanahitaji kuongeza ma linesmen au kutumia teknologia ya kisasa kugundua vitu hivi...!Katoa penalt hewa badala ya offside na kamtoa mtu kwa red card cause of the fake penalt.
hapa ni kama hesabu ya point 3 imekamilika!dk 85 sekundi 25,man u 2-qpr 0!
Ila I'm a Man U Fan ila Najaribu kuimagine Ile Kadi Nyekundu angekuwa Mwasika Pale ha ha ha. Ile haikuwa Kadi jamani. Ila Tumeshinda
Katoa penalt hewa badala ya offside na kamtoa mtu kwa red card cause of the fake penalt.
Ile haikuwa Kadi jamani. Ila Tumeshinda