Wengi sana wako vizuri sana (>90%) orodha ni ndefu...ungetaka majaji wanaoboa/ukiona tu jina la Jaji una-close page kufungua nyingine ndo orodha iko fupi sana.
Coz kuna Jaji HCT (....) wa zamani kidogo sijawahi kuona hata hukumu yake iliyokatiwa rufaa CAT imekubarika zote ni... "the trial...
Hapana hapana mkuu, badala ya kuongeza UMEPOTOSHA watu bora ungelike basi.
Hata mfano wako co vivid (km mali isiyohamishika ipo mbeya kisheria kesi itasikilizwa huko mbeya na sio Dar). Km bado upo chuo PROCEDURAL LAW ni changamoto subiri uje uraiani komaa tu na SUBSTATIVE LAW!.
Wapeni kampuni ya utafiti wa masoko ya SAGACI ili waweze kufanya research waje na majibu sahihi. Hawa jamaa SAGACI RESEARCH CO. LTD wako vizr sna kwny data collection na wanateknolojia ya kisasa!.
Pole sana kwa hayo yote mabaya yaliyokukuta kaka!.
Mikondo ya sheria ipo miwili (a) criminal channel na (b) civil channel). Criminal hulenga zaidi kumpanishi mharifu ili apate maumivu asirudie (DETERENCE) na Civil hulenga kumpa fidia mtu alieumia ili kumrudisha kwny hali yake ya kawaida km...
Ngoja gharama zipande na mimi naomba wapindishe kabisa ili sisi tunaojiita WANYONGE, tunyongwe kwa vitendo co maneno tu hata km nauli ya kutoka kituo kimoja had kingine iwe 1000, ama 1500 nitaunga mkono...sisi wa maisha ya chini ndo tulioiweka hiyo serikali eti hatuwezi kubadili (...CM) kwamba...
Hata km ni wema kwan hao wawili kuwa wapenzi ni tatizo??? Je watakuwa wamevunja ibara gan ya katiba ya JMT 1977.
Acheni upuuzi kwa wewe hapo ulipo huna mpenzi??
Interpretation ya hyo section (kisheria) ni pale ambapo serikali ya kijiji ndo imetoa hyo ardhi (CRO) granted by the VC...on a village land!. Kumbka village land imegawanyika ktk part 3
i. Communal village land (for village use only)
ii. Village land (availlable for grant under CRO)
iii. Village...
Kwan hakuna sheria za madini??? Mkuu mbona you seems to have QI debt!. Yeye anaongelea mikataba ya madini co compostion of gold, copper, silver etc!. Hata medical, engineer, etc kuna sheria (eg. The pharmacy act, mining act etc)
Na haungi mkono wizi wa madini anachoongelea ni procedure za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.