Natafuta mtu mwenye link au anajua ninakoweza kupa kitabu kinachoitafsiri sheria za Tanzania

Mosahe

Member
Feb 22, 2017
67
33
Naomba kujua kama kuna mtu ana link au anajua ninakoweza kupata kitabu kinachoitafsiri katiba ya Tanzania maana nahitaji kujifua kisheria ili nipambane na kesi 1 ninamshitaki mwekezaji kwa kuchelewesha fidia na kusababisha kelele na vumbi kila siku kwa milipuko ya baruti!
 
naomba kujua kama kuna mtu ana link au anajua ninakoweza kupa kitabu kinachoitafsili katiba ya tz maana nahitaji kujifua kisheria ili nipambane na kesi 1 ninamshitaki mwekezaji kwa kuchelewesha fidia na kusababisha kelele na vumbi kila siku kwa milipuko ya baruti!
sawa mkuu. Hata hivyo jipange vizuri maana sidhani kama unaweza endesha kesi yako vizuri kwa kutumia katiba tu. Jaribu kupakua hii hapa chini
 

Attachments

  • Katiba_ya_Tanzania.pdf
    261.2 KB · Views: 39
naomba kujua kama kuna mtu ana link au anajua ninakoweza kupa kitabu kinachoitafsili katiba ya tz maana nahitaji kujifua kisheria ili nipambane na kesi 1 ninamshitaki mwekezaji kwa kuchelewesha fidia na kusababisha kelele na vumbi kila siku kwa milipuko ya baruti!
Hapo katiba ya nn?? Kwan utafungua kesi ya kikatiba??
 
Back
Top Bottom