Nini maoni yenu juu ya internet ya Halotel?

Nini maoni yenu juu ya internet ya Halotel?

Wadau wa mitandao, hasa wale mnaotumia mtandao wa halotel mna maoni gani kuhusu ubora wa huduma za internet za hii kampuni, maana maeneo mengine imekuwa ni kero kwa kweli, je wadau wateja mlioko maeneo mbalimbali mnaonaje huko kwenu huduma za hawa jamaa(internet),
Wapeni kampuni ya utafiti wa masoko ya SAGACI ili waweze kufanya research waje na majibu sahihi. Hawa jamaa SAGACI RESEARCH CO. LTD wako vizr sna kwny data collection na wanateknolojia ya kisasa!.
 
Wako vizuri kwa virushi vyao vya internet mb nyingi lakini kwa maeneo yaliyoko mbali na mji huwa wanasuasua sana internet iko slow kupita maelezo.Voda kwa vijijini mtandao una kasi kuliko mingine tatizo lao ni wezi.
 
Mie nawashukuru Halotel yaan hapa bila Halotel hamna kitu
 
Kwakweli kwa upande wa Halotel sina cha kulaumu. Nimeshatumia mitandao mingine yote.... ila halotel ina unafuu mkubwa sana upande wa voice calls na data.....
Hata speed ipo vizuri sana.

Yaani dk ukijiunga elf 10 tigo unapata dk 130 wakati halotel dk 180 alafu tigo 4g ni upuuzi uliopitiliza
 
Mkuu nadhani JF imesaidia sana miezi miwili iliyo pita hawa hallotel walikua umiza kichwa sana na tulipiga sana kelele lakini angalau kwa sasa kama wametuelewa kidogo naona net yao na wizi wao umepungua
No one like halotel mwana
 
acheni upotoshaji hakuna mtandao tz unaoweza kufikia kasi ya Halotel wapo vizur sana na mob zinachelewa kukata tofauti na voda ukinunua tigo ndio kabisa mb hautumii jinsi ilivyo slow
Halotel wana 4G au bado wako 3G??
 
Mkuu nadhani JF imesaidia sana miezi miwili iliyo pita hawa hallotel walikua umiza kichwa sana na tulipiga sana kelele lakini angalau kwa sasa kama wametuelewa kidogo naona net yao na wizi wao umepungua
walianza wizi mwaka jana
 
Yaani dk ukijiunga elf 10 tigo unapata dk 130 wakati halotel dk 180 alafu tigo 4g ni upuuzi uliopitiliza
Ni kweli kabisa kaka. Mie sasa hivi sipotezi muda na Mitandao mingine
 
Wadau wa mitandao, hasa wale mnaotumia mtandao wa halotel mna maoni gani kuhusu ubora wa huduma za internet za hii kampuni, maana maeneo mengine imekuwa ni kero kwa kweli, je wadau wateja mlioko maeneo mbalimbali mnaonaje huko kwenu huduma za hawa jamaa(internet),
Mizinguo
 
Internet yao ni kero kwakweli kwa sasa tofauti na walipoanza, imekua iko slow sana, kuna mtu aliwahi kuniambia mikoani haisumbui sana tofauti na Dar, lkn juzi hapa nilikua moro(Kilosa,Mvomero na Ulanga) ikawa ina suasua especialy moro mjini inazingua sana. Kama wateja eameongezeka wajipange
 
Back
Top Bottom