Wachezaji wengi wakitoka Leipzig kuja chelsea wanaflop, TIMO WERNER, CHRIS NKUNKU HILI DEAL LA XAVI SIMON.... ISIJE IKAWA Marudio.... Kuna sajili hazikwenda vizuri mojawapo joao felix ...
Kila mara wakihitajika LAVIA NA NA FOFANA hawapo , pamoja na talanta walizonazo ila haina maana ya kuwa na wachezaji wasiomaliza mwezi bila kuumwa mbadala muhimu
Anaitwa ibra Ra.... Ila jamaa anauchambuzi wa upande mmoja na hili ndio kosa kubwa sana media za Tanzania..... Hutasikia hata siku moja jamaa akisema Israel wanauwezo utaona mara nyingi anamsema Netanyahu anamgogoro ndani ya chama chake kuonyesha ndio dhaifu hata sasa anaongea kutia kimrengo wa...
Mechi ya jana kama angekuwa pochetino tungeshafungwa kipindi cha kwanza na mabadiliko yangefanyika ambayo yasingeleta mafanikio yoyote.... Bado huyu kocha anakitu anaweza fanya
Tanga bado tena bado saaana mji UMEZUBAAA halafu, halafu ni kama jamii ya Tanga haina ubunifu... Tanga haitabasilishwa na wanatanga kabisa ni lazima kuwe na tofauti itakayo tokea nje tanga ya leo... Hiana tofauti ya miaka kumi iliyopita hata kumi ijayo itakuwa hivyo hivyo
Inategemea na maombi ya mawakili wa serikali walivyofanya amendment ya kifungu cha 234 CPA CAP 20 RE 2019 ambacho kina vipengele vingi mahsusi ambavyo sio lazima mashahidi au ushahidi uanze upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.