Recent content by saemonity

  1. saemonity

    Kati ya haier na hisense ipi bora?

    Chukua ULED Moja kali ya Hisense for picture quality, halafu nunua android tv stick au box kwaajili ya freedom.
  2. saemonity

    Course za afya za kusoma mwaka 2025 zenye uhitaji serikalini

    Biomedical Engineering 🤗 So far sijajuta kuchagua hii degree ile 2019. So far kuna nafasi nyingii za kazi mpaka watu wanachagua interview ipi waende ipi wasiende. Na Last time nimecheki wizara ya afya ilitoa nafasi 22, walio kuwa shortlisted 11.
  3. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Usaili wa uvumilivu imekaa vizuri sana hii statement.😂😂
  4. saemonity

    Tupeane machimbo kunapouzwa kitimoto. Pia tubasilishane ujuzi wa mapishi

    Tip: Roast ni rahisi kupigwa, kavu atleast inauhalisia.
  5. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Payroll hutengenezwa na taasisi?.
  6. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pesa ya kujikimu ni haki yako.
  7. saemonity

    Dini ni uongo unaopumbaza na kuendeleza fikra za kitumwa

    Unataka kuwapokonya watu dini watashikilia nini tena kama "moral compass"? Na nini kingine kitawapa "meaning" ya mateso ya dunia hii? Most people hawapo tayari kuachia hii kitu kwasababu hawana namna nyingine ya kuishi na kupata meaning ya maisha zaidi ya kutumia hiyo "lens" ya dini. Pamoja Na...
  8. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vuta kiti ukae mkuu, agiza na soda.
  9. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shukrani. Mungu atafanya na kwako pia.
  10. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sijajua ila naona wengi ndiyo hivyo. Ila Ni headache.
  11. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Anhaa hongera mkuu, sisi tulikua contena lile la kwanza ila mpaka leo simu hazijaitaa.
  12. saemonity

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Anhaa ile batch ya kwanza au hii ya juzi?.
Back
Top Bottom