Hao wote hawana makosa dereva kazi yake nikuendesha gari anaitwa pindi gari imeshajaa kondacta hana kosa hana jukumu la kukagua mizigo ya abiria furushi limefungwa kama robota la mtumba unakaguaje zaid yakuweka kwenye buti tu
Aisee nimeshtuka ulupotaja Malinyi hivi unaijua wilaya ya malinyi vizur au unaongea tu watumishi wanatoboa huku hatari tena ukija huku kamwe hutakubali kuamishwa
Uzeni meno ya tembo mbona yanaela sana TANAPA gani we unalialia mbona madili kibao ya kupiga pesa, mfano huku nilipo jamaa wanakamata mifugo hifazini na mambo yanaishia huko huko acha hzo jamaa wanapiga pesa sana
Ukweli hakuna mvuta sigara anaependa kuvuta wengi tunatamani kuacha ila kuacha sigara ni kazi sana mimi hata leo kama kuna yeyote anaweza kunisaidia kuacha nipo tayari sigara ni mateso usijaribu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.