LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 26,983
- 41,597
upo?Kheeeh hii mbna mpyaa, Lol
upo?Kheeeh hii mbna mpyaa, Lol
Nimejiuliza hata mimihaya umeandika ukiwa na akili timamu au una msongo wa mawazo?
Akili timamu kabisa, vipi ulitakaje kwani?haya umeandika ukiwa na akili timamu au una msongo wa mawazo?
Nakubali mkuu😀Mikopo ni utapeli.
Mtu kakopeshwa tv ya nchi 43 ambapo anatakiwa alipe milion 1 na laki 3 kwa mwaka. Tv yenyewe ni fox😀😀😀. Siingilii maisha ya mtu ila hawa wa mikopo ni matapeli.
Kama kuna namna kopa simu ya mkopo, unlock utumie free. Hapo wizi ni wizi
Sema wanaokopa wengi naona ni waajiriwa, wanaona hamna shida maana kila mwezi mzigo unaingia. Ukiajiriwa sometimes unajisahau sana.Simu ya laki mbili na nusu unalipa mkopo 400000 ukijumlisha na simu 250000.
Tanzania ndio nchi pekee zenye riba za ajabu ambazo kila tapeli uvutiwa kuwekeza hapa kumnyonya mwananchi.
We jamaa nimekushtukia😀 Ndio unayetuuzia simu za mikopo. Simu za mikopo ni utapeli mtupu, sema mna bahati wateja wenu wengi wameajiriwa. Bila hivyo mngekuwa mmefilisika.Sawa tapeli nenda kawatapeli nakusubiria pale Ukonga Keko Segerea
KkTunatoa Lock simu za mkopo zilizofungwa
NilitaniaKk
Naomba namba yako au inbox
Haziflashiki mkuu ila tunaondoa security plugKaiflash
DuhHaziflashiki mkuu ila tunaondoa security plug
Utaratibu upojeHaziflashiki mkuu ila tunaondoa security plug
Njoo pmUtaratibu upoje
Nakuja inboxKuna mwamba anazifanyia mambo kwa 60k deni kwisha