Tatizo stand haiko connected, ukitaka kifika stand kama hauna usafiri binafsi lazima utaabike, sawa na ukishukia hapo, zamani ubungo ilikiwa rahisi kupata usafiri wa kwenda pande zote, kama ilivyo kwa stand za urafiki sasahivi.
+ 1 kwenye hili, kiukweli sioni namna mtakavyoweza kulipa hilo deni kama hakuna vitega uchumi vingine, mnaweza kupata hasara nyumba ikachukuliwa na wajanja kwa bei rahisi, kufa kufaana. Nivyema kama hakuna kabisa option ya kupata hela ya matibabu basi muuze tu hiyo nyumba kwa bei ambayo ni nzuri...
Ngoja nijaribu kukujibu kilayman;
Chrome - Browser/Sulf
Hii ni program kwa ajili ya kufungulia website yoyote unayoihitaji, ili kufungua website husika lazima ujue address/url yake kuweza kuifikia, mfano www.jamiiforums.com
Google - Search Engine
Hii ni website kwa ajili ya kutafutia contents...
Kupanga Budget sio issue sana, issue ni utekelezaji, hapo ndipo nidhamu ya hali ya juu inatakiwa, binafsi nimegawa budget katika makundi haya;
1)Savings
2)Needs
3)Wants
Savings, akiba, hiyo nina kiasi maalumu kabisa, kabla ya matumizi yoyote natenga akiba pembeni, swala la akiba ni pana sana...
Naona baada ya hii hype ya AI baadae value ya Human input/output itaongezeka sana, mfano rahisi chukulia kwenye vyakula, natural and organic vina thamani sana kuliko synthetic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.