Data Science, Statistics, Actuarial science zitamfaa, siku hizi kuajiliwa ni bahati, connection na skills & experience tu, asome kitu anachokipenda atafaulu vizuri.
Tatizo stand haiko connected, ukitaka kifika stand kama hauna usafiri binafsi lazima utaabike, sawa na ukishukia hapo, zamani ubungo ilikiwa rahisi kupata usafiri wa kwenda pande zote, kama ilivyo kwa stand za urafiki sasahivi.
+ 1 kwenye hili, kiukweli sioni namna mtakavyoweza kulipa hilo deni kama hakuna vitega uchumi vingine, mnaweza kupata hasara nyumba ikachukuliwa na wajanja kwa bei rahisi, kufa kufaana. Nivyema kama hakuna kabisa option ya kupata hela ya matibabu basi muuze tu hiyo nyumba kwa bei ambayo ni nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.