Recent content by Promenthous

  1. P

    Stend ya Mbezi kwa Magufuli kosa kubwa ni hili

    Tatizo stand haiko connected, ukitaka kifika stand kama hauna usafiri binafsi lazima utaabike, sawa na ukishukia hapo, zamani ubungo ilikiwa rahisi kupata usafiri wa kwenda pande zote, kama ilivyo kwa stand za urafiki sasahivi.
  2. P

    Biashara ina uhuru na inatajirisha lakini watoto wetu tunawaombea waje kuajiriwa wavae na tai, stress za biashara si mchezo

    Hela ni ile ile tu, whether unaipata kwa ajira au biashara, kila njia inaugumu wake.
  3. P

    Mama ana changamoto ya kiafya, anahitaji mkopo wa fedha kwa dhamana ya nyumba

    + 1 kwenye hili, kiukweli sioni namna mtakavyoweza kulipa hilo deni kama hakuna vitega uchumi vingine, mnaweza kupata hasara nyumba ikachukuliwa na wajanja kwa bei rahisi, kufa kufaana. Nivyema kama hakuna kabisa option ya kupata hela ya matibabu basi muuze tu hiyo nyumba kwa bei ambayo ni nzuri...
  4. P

    Natafuta kazi, njaa itaniua

    DM au hiyo namba yako unatumia whatsapp?
  5. P

    Kujenga Apartments

    Ushauri, kwanza tafuta kiwanja sehemu ambayo ni potential, watu wengi wanapenda kupanga sehemu ambazo zinafikika na ambazo zimeshaendelea
  6. P

    Jitengenezee Streaming Server (Kama Netflix) Local (ya Nyumbani Kwako) [Tutorial]

    Jellyfin iko poa, haina mambo mengi, nimeitumia muda mrefu, unaweza kutumia kwenye pc, SmartTv na smartphone
  7. P

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    Ndio tatizo lake kumbe, nilidhani kwangu tu
  8. P

    Ila Ford Ranger zimekaa kibabe

    Pickups battle • Fords Rangers, wildtrack • Toyota Hilux • Nissan Navara • VW Amarok • Isuzu D-Max • Mitsubishi Triton • GWM - China brand
  9. P

    Naomba kueleweshwa kuhusu tofauti kati ya Google na chrome ni ipi?

    Ngoja nijaribu kukujibu kilayman; Chrome - Browser/Sulf Hii ni program kwa ajili ya kufungulia website yoyote unayoihitaji, ili kufungua website husika lazima ujue address/url yake kuweza kuifikia, mfano www.jamiiforums.com Google - Search Engine Hii ni website kwa ajili ya kutafutia contents...
  10. P

    Hivi inawezekana kuishi kwa bajeti ya kila kitu? Chakula, mavazi, matumizi binafsi, nk?

    Kupanga Budget sio issue sana, issue ni utekelezaji, hapo ndipo nidhamu ya hali ya juu inatakiwa, binafsi nimegawa budget katika makundi haya; 1)Savings 2)Needs 3)Wants Savings, akiba, hiyo nina kiasi maalumu kabisa, kabla ya matumizi yoyote natenga akiba pembeni, swala la akiba ni pana sana...
  11. P

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hivi vodacom wanavifurushi vya SME? Kama ndio bundle zao zikoje?
  12. P

    Rafiki yangu ChartGPT

    Naona baada ya hii hype ya AI baadae value ya Human input/output itaongezeka sana, mfano rahisi chukulia kwenye vyakula, natural and organic vina thamani sana kuliko synthetic
Back
Top Bottom