2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kabisa mtani...
Halafu tokea haya mashindano yaanze.
Sub zinazoingia huwa zinaleta impact sana...
So Spain wakifanya mabadiliko ya Yamin atabadilisha mchezo.

Japo na yeye anakabika tu.

Na Wakiruhusu goli, wanapigwa 3
Yah! Ila hawa ndugu zetu wakaze kaze kidogo Afrika hatutaki aibu kama aliyokutana nayo yule jamaa aliyepigwa 7 na Germany.
 
Hata bila kuumia sioni Spain kama threat kabisa kwenye hii tournament

Acha kabisa kuwataja hao big fishes. Hawa hawa kina Cape Verde wanaweza kufanya Spain asitoke na point 3

Na hili kosa lilifanyika kwa watu waliokuwa wakii hype Spain na kufanya wapinzani wajipange haswa na kucheza kwa intensity ya juu.
Second half sijaona kocha wa Spain kabadili nini. Naona hata South Korea anawatandika hawa hata robo hawaendi kwa mpira nyanya huu wanaocheza hapa.

Hawana strategy kabisa. Spanish wachezaji wa Real Madrid walioachwa wataona hamna sababu ya msingi iliyowaweka nje ya kikosi.
 
Nimejaribu kupita sokoni nimeona kuna 2,45 hapo kwa goli 2



1781544445312.png
 
Back
Top Bottom