Recent content by pretypriceless

  1. pretypriceless

    Hivi kwanini wanawake hawapishani kwenye siti wakiona mwenzao mjamzito kasimama?

    Hawawapishi sababu nayeye alivokua ana mimba hakupishwa... kwann yeye apishwe? Wanarithishana roho
  2. pretypriceless

    Ushauri wenu: Nilimuahidi, nifanyaje?

    Eeh ulimuahidi hutamuacha hivihivi... japokua haingii akilini wewe timiza ahadi tena anaimumbushia.. timiza tu mmalizane
  3. pretypriceless

    iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    Nenda kupatana, search iphone 6 nahisi nmeiona leo kwenye zinazouzwa
  4. pretypriceless

    Nahitaji msichana wa kuoa niko serious

    Sasa aliekwambia mke anapatikana jamii forums nani?
  5. pretypriceless

    So this is how flirting really works?

    Inanoga wote mkiwa single... sio wote takeni, so stupid.
  6. pretypriceless

    Harmorapa , Harmonize hajui kuimba anabebwa na media

    Mimi simpendiiiiii mpaka basi, hakuna alichofanya mpaka sasa... ustaa tu unamsumbua basi watu wamemuweka midomoni weee, so stupid
  7. pretypriceless

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Gwajima hana ethics za utumishi... anaongea tu ilimradi aonekane yumo..!!
  8. pretypriceless

    Kwa wake tu: Wakezetu badilikeni!

    Sasa chukua mchepuko weka ndani uone atakuaje? Kama nyinyi kamsemo kenu kwamba hakuna kampeni baada ya kushinda uchaguzi, basi nasisi hakuna haja ya kubembelezana akat ushaniweka ndani upo?
  9. pretypriceless

    Natafuta mwanamke wa kuoa kwa mkataba wa miezi tisa

    Sasa mkataba wa miezi tisa akishazaa huyo mtoto inakuaje baada ya mkataba kuisha na hujampenda mkaachana? Ushawai kufikria mtoto kukaa na wazazi tofauti?
  10. pretypriceless

    Wanaume mna nini na simu zenu?

    Huyo sio mwanaume muaminifu, kwanini afiche simu? Anajua yaliyopo humo ndani sio kwa faida yenu wote... kwenye ndoa mbona ndo utaomba poo sasa kama usipotafuta ufumbuzi saiv
  11. pretypriceless

    Kuoa Hatuoi

    Safi
  12. pretypriceless

    Mke wangu amepanda cheo, ananidharau

    Shkamoo mkuu...ushauri bomba
Back
Top Bottom